Kindimbajuu
JF-Expert Member
- Jul 8, 2009
- 710
- 245
Kwani comment inaongeza,kupunguza au kubadili kitu penye ukweli...!!??
Bora umemuuliza. Vizuri, anadhani mwenyehiri hupatikana kwa watu kupewa bahasha ili wakatangaze mwenye heri?.
Kwani comment inaongeza,kupunguza au kubadili kitu penye ukweli...!!??
Watoto wa Nyerere wanajulikana hii tabia ya ktumia majina ya wa tu kwa umaarufu haifai,Esther na Lilian Wasra nao walijifanya kama watoto wa Wasra kumbe ni geresha,sasa Mzee Joseph Nyerere nae ni nani katika nchi hii hadi mtoto wake apewe coverage kisa kujiunga na Chadema! Au mnatumia Jina la Nyerere kujifanya kama ni watoto wa Mwl Nyerere!
Moja wapo ya sifa kubwa aliyokuwa nayo baba wa Taifa ni kuwa MKWELI, hakuwa mnafiki! alisimamia ukweli na kile tunachokiamini anachokiamini mpaka mauti yalipo mkuta. KWAKUWA kitanda hakizai haramu hatushangai sana... CCM haikushinda uchaguzi mkuu 2010, hili liko wazi na hali hitaji darubini kuona au kipaza sauti kusikia ILA kwakuwa umeamua kufumba macho huku ukijisaidia bus stand! we endelea...RIP JKN'Dhamira inakusuta'.ndivyo alivysema mama mmoja katika uchaguzi uliopita alipohojiwa on TV;'nikitaka kuwapigia kura wapinzani,moyo wangu unanisuta' Yule mama amewafanya wengi kuipigia kura CCM kuliko kampeni yote aliyofanya JK.
You have said it well. Thanks.If having members of Nyerere's family in their party is everything Chadema supporters are looking for, then they've definitely won the battle. But if they're aware that it's credible policies, rather than big names, that give life to a political party, they'd perhaps find that there's no point in rejoicing over the arrival of this latest guest to join their ranks. Sure, they may succeed in persuading the whole family to become their part, but the crucial question remains what the impact is these people might have on the wellbeing of the party.
Namkumbuka sana huyu jamaa kwa vituko vyake alikuwa anakimbiza ovyo mitaani gari lake Land Rover 109. Na yule Kiboko naye yupo wapi sijui.
mkuu huenda wapo hawatangazwi tu, ila tukiri tu kuwa Urais wa Nyerere miaka yote 23 haujawa na ushirika, haujawa wa familia na haukuwa na urafiki kwa mtu yeyote....
(naomba nijue, nani mwenye picha ya mtoto wa mkapa? kiukweli sijui kama mkapa ana mtoto.)
Mku mimi nawajua watoto wawili wa Ben lakini hawajihusishi na mambo ya siasa. Wapo wapo tu wanapata mivinyo kwa time yao
Kama uliiona landrover 109 inakwenda spidi kubwa sana katika mitaa ya Dar,ilikuwa ni mimi,Andrew Nyerere.
Mkuu Mzee wa Kwembe Kati, uitaja tuu jina la Nyerere, kwa wengi wetu tunahesabu ni familia ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, hivyo ukisema familia ya Nyerere bila ku specify, ref ya wengi wetu watadhani ni familia ya Mwalimu kumbe ni ya Jose!.
Please be specific isije kuwa kama ile ya binti za Wasira!.
NB. Familia ndio ngazi ya kwanza ya jamii na inahusisha baba, mama na watoto wao tuu!, na ikiwa ni extended familiy itawahusisha wale ndugu waliolelewa ndani ya mji wa Mwalimu tuu, not more, not less!.
Kaka na dada wa Mwalimu, sio wanafamila wa Mwalimu bali ni wanaukoo wa Mwalimu!. Naomba tutenganishe kati ya wanafamilia, wanaukoo, ndungu jamaa na marafiki!. Hakuna mwanafamilia wa Mwalimu aliyeko Chadema!.
Pasco.
Ki vp, mimi ni Bramo, mimi sio Yericko Nyerere , nimejaribu Kumkumbushia tu kamanda Mzee wa Kwembe-Kati kuwa pia Kamanda Yericko Nyerere naye ni wa Ukoo wa Julius aliyeamua kuvaa Gwanda, imekuchoma nini Mkuu the GambaNaona unajipigia upatu kaka hautambuliki.
Huyo anakujaje hapa?Steve Nyerere naye ni wa Butiama?