Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,539
- 284,024
Heri Wakoloni Wajerumani Mara Dufu Kuliko Majambazi Na Wang'oa Meno Wa Lumumba
asante sana mkuu .
Heri Wakoloni Wajerumani Mara Dufu Kuliko Majambazi Na Wang'oa Meno Wa Lumumba
Chadema wameenda kuomba misaada kwa wakoloni wa kijerumani. Chadema wanaaibisha Taifa kwa tabia yao ya kuomba omba
yaani kitu pekee ambacho huwa nawashangaa chadema wangu ni pale wanapomwamini prof safari, prof aliyekuwa cuf, prof mwanasheria asiyeshinda hata kesi moja mahakamani, prof mwanasheria ambaye amekosa kazi, hauziki vyuoni wala mahakamani hana wateja, mtu wa maandamano kuilaani israel na mwislam mwenye msimamo mkali kuliko waislam wanasheria wote Tanzania. huo uislam wake mimi simhukumu, ni imani yake, ila naongea kwasababu namfahamu kwa karibu, ni moja wapo wa watu wanaounga mkono type za kina ponda, na al shababu etc. amekosa kibarua hivi mnafikiri hapo anatafuta kutengeneza chama au? na ninyi chadema mmekosa watu?
aina ya watu kama prof safari, zito, yule mswahili wa mwaswa shibuda etc tupilia mbali huko bora wawaite hata wadini kuliko kushikilia hizi type za watu ambazo tunazijua kabisa zipo kuchuma tumbo na hata leo ccm wakiwapa mshiko wa kueleweka wanaweza kuwasaliti hadi hamtaamini macho yetu. NAOMBA MSIWAPE VYEO VYA JUU KWASABABU MTAKUJA KULIA SIKU MOJA HAPAHAPA.
yaani kitu pekee ambacho huwa nawashangaa chadema wangu ni pale wanapomwamini prof safari, prof aliyekuwa cuf, prof mwanasheria asiyeshinda hata kesi moja mahakamani, prof mwanasheria ambaye amekosa kazi, hauziki vyuoni wala mahakamani hana wateja, mtu wa maandamano kuilaani israel na mwislam mwenye msimamo mkali kuliko waislam wanasheria wote Tanzania. huo uislam wake mimi simhukumu, ni imani yake, ila naongea kwasababu namfahamu kwa karibu, ni moja wapo wa watu wanaounga mkono type za kina ponda, na al shababu etc. amekosa kibarua hivi mnafikiri hapo anatafuta kutengeneza chama au? na ninyi chadema mmekosa watu?
aina ya watu kama prof safari, zito, yule mswahili wa mwaswa shibuda etc tupilia mbali huko bora wawaite hata wadini kuliko kushikilia hizi type za watu ambazo tunazijua kabisa zipo kuchuma tumbo na hata leo ccm wakiwapa mshiko wa kueleweka wanaweza kuwasaliti hadi hamtaamini macho yetu. NAOMBA MSIWAPE VYEO VYA JUU KWASABABU MTAKUJA KULIA SIKU MOJA HAPAHAPA.
Umeona eeenh, basi Huyo hayuko peke yake mkuu, huko cdm wapo wengi tu watu wa aina yake na wengine ni viongoz wao wa chama, ni watu wanaojisikia kwa dini zao na ukabila wao. Ni watu wa ovyo kabisa.we mdini ......
Mkuu Hute umenifikirisha! Usiku mwemayaani kitu pekee ambacho huwa nawashangaa chadema wangu ni pale wanapomwamini prof safari, prof aliyekuwa cuf, prof mwanasheria asiyeshinda hata kesi moja mahakamani, prof mwanasheria ambaye amekosa kazi, hauziki vyuoni wala mahakamani hana wateja, mtu wa maandamano kuilaani israel na mwislam mwenye msimamo mkali kuliko waislam wanasheria wote Tanzania. huo uislam wake mimi simhukumu, ni imani yake, ila naongea kwasababu namfahamu kwa karibu, ni moja wapo wa watu wanaounga mkono type za kina ponda, na al shababu etc. amekosa kibarua hivi mnafikiri hapo anatafuta kutengeneza chama au? na ninyi chadema mmekosa watu?
aina ya watu kama prof safari, zito, yule mswahili wa mwaswa shibuda etc tupilia mbali huko bora wawaite hata wadini kuliko kushikilia hizi type za watu ambazo tunazijua kabisa zipo kuchuma tumbo na hata leo ccm wakiwapa mshiko wa kueleweka wanaweza kuwasaliti hadi hamtaamini macho yetu. NAOMBA MSIWAPE VYEO VYA JUU KWASABABU MTAKUJA KULIA SIKU MOJA HAPAHAPA.
Chadema wameenda kuomba misaada kwa wakoloni wa kijerumani. Chadema wanaaibisha Taifa kwa tabia yao ya kuomba omba
View attachment 208798View attachment 208798View attachment 208798Hii ni hoteli maarufu kwa mikutano ya kimataifa ......walikutana na ujumbe maalum kwa masaa kadhaa.
Chadema wameenda kuomba misaada kwa wakoloni wa kijerumani. Chadema wanaaibisha Taifa kwa tabia yao ya kuomba omba
Vibaraka wa wazungu wanahangaika sana
yaani kitu pekee ambacho huwa nawashangaa chadema wangu ni pale wanapomwamini prof safari, prof aliyekuwa cuf, prof mwanasheria asiyeshinda hata kesi moja mahakamani, prof mwanasheria ambaye amekosa kazi, hauziki vyuoni wala mahakamani hana wateja, mtu wa maandamano kuilaani israel na mwislam mwenye msimamo mkali kuliko waislam wanasheria wote Tanzania. huo uislam wake mimi simhukumu, ni imani yake, ila naongea kwasababu namfahamu kwa karibu, ni moja wapo wa watu wanaounga mkono type za kina ponda, na al shababu etc. amekosa kibarua hivi mnafikiri hapo anatafuta kutengeneza chama au? na ninyi chadema mmekosa watu?
aina ya watu kama prof safari, zito, yule mswahili wa mwaswa shibuda etc tupilia mbali huko bora wawaite hata wadini kuliko kushikilia hizi type za watu ambazo tunazijua kabisa zipo kuchuma tumbo na hata leo ccm wakiwapa mshiko wa kueleweka wanaweza kuwasaliti hadi hamtaamini macho yetu. NAOMBA MSIWAPE VYEO VYA JUU KWASABABU MTAKUJA KULIA SIKU MOJA HAPAHAPA.
Chadema wameenda kuomba misaada kwa wakoloni wa kijerumani. Chadema wanaaibisha Taifa kwa tabia yao ya kuomba omba
Chadema wameenda kuomba misaada kwa wakoloni wa kijerumani. Chadema wanaaibisha Taifa kwa tabia yao ya kuomba omba
Chadema wameenda kuomba misaada kwa wakoloni wa kijerumani. Chadema wanaaibisha Taifa kwa tabia yao ya kuomba omba
Usikute hawa wajinga wanaifanyia udalali nchi yetu!
pamoja makamanda ni safari ya ukombozi kuelekea kwenye nchi ya ahadi.
chadema ni mpango wa allah.