Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,935
- 5,558
wamekuwa mwenyekiti wa ccmila wao hawaendi kutibu mabusha
wamekuwa mwenyekiti wa ccmila wao hawaendi kutibu mabusha
Usikute hawa wajinga wanaifanyia udalali nchi yetu!
Vibaraka wa wazungu wanahangaika sana
"naitumia ndege ya rais kwenda kuomba misaada", JM Kikwete.Chadema wameenda kuomba misaada kwa wakoloni wa kijerumani. Chadema wanaaibisha Taifa kwa tabia yao ya kuomba omba
Chadema wameenda kuomba misaada kwa wakoloni wa kijerumani. Chadema wanaaibisha Taifa kwa tabia yao ya kuomba omba
ni njaa, prof niliyewahi kumshuhudia anaandamana kulaani israel, prof huyo amenifundisha evidence law na criminal kidogo, namfahamu kuliko wewe unavyomfahamu tangu enzi zile yupo mahakama kuu/rufaa. mwenzio huyo ni mwalimu wangu udsm pale wa evidence law. kama haumfahamu mimi namfahamu. he is the only prof ambeye dini imechukua nafasi kubwa kuliko akili yake ya darasani, huyo hata kujitoa muhanga anaweza. kawaulize wanaofahamu.watu kama wewe hamtakiwi katika jamii,ulichoandika ni upuuzi na uzushi na udini uliokithiri na wenzako ni akina faizafoxy, kahtaan and the like. Prof. Safari alikuwa cuf chama kinachozushiwa udini(uislam) sasa kwanini atoke huko aingie chadema chama ambacho nacho kinazushiwa udini(ukristo) huku unamuita ni muislam mwenye msimamo mkali!! What a contradiction! Next time ukiwa umebanwa na haja kubwa halafu unataka kuongea ni vema ukajisaidia kwanza halafu ndio uongee vinginevyo utakayosema au kuandika yatafanana na kinyesi kama ulichoandika!
angalia hapo kwenye red, unasema hajakosa kazi? hahaha, kwahiyo profesa wa law/sheria anaitwa marekani akafundishe KISWAHILI. simsemi kwa kumsimanga na elimu yake au kazi, kwasababu ninajua sio kwamba anakosa hela ya kula na kulala. na sio kwamba vitabu vyake vinalipa, walaaa,...ninachosema ni kwamba ninamfahamu, ni mtu wa aina za kina ponda. chadema wamuangalie kwa umakini kuna siku watakuja kulia. hatutaki extremists kwenye chadema.Prof. Safari aliondolewa Chuo kikuu Mlimani baada ya kushiriki ktk siasa akiwa mtumishi wa Umma pale alipoenda kumtetea Lipumba mahakamani. Hata hivyo prof. Hajakosa kazi kwani vyuo vikuu kadhaa Duniani hasa marekani vimemuhitaji kwa ajili ya kufundisha Kiswahili lkn ameshindwa kuondoka nchini kwani Ana jukumu la kumtunza mama yake mzazi.
'Simwamini yeyote katika suala la afya ya mama yangu' Prof alinieleza siku moja tulipokutana hospitalini akiwa amempeleka mama yake kutibiwa, pro. Anapata mapato yake kutokana na vitabu mbalimbali alivyo viandika na anavyoendelea kuandika. Prof. Abdalah Safari ni Mtu rahimu asiekua na ubaguzi mwenye kuthamini sana watu .
watu kama wewe hamtakiwi katika jamii,ulichoandika ni upuuzi na uzushi na udini uliokithiri na wenzako ni akina faizafoxy, kahtaan and the like. Prof. Safari alikuwa cuf chama kinachozushiwa udini(uislam) sasa kwanini atoke huko aingie chadema chama ambacho nacho kinazushiwa udini(ukristo) huku unamuita ni muislam mwenye msimamo mkali!! What a contradiction! Next time ukiwa umebanwa na haja kubwa halafu unataka kuongea ni vema ukajisaidia kwanza halafu ndio uongee vinginevyo utakayosema au kuandika yatafanana na kinyesi kama ulichoandika!
Vibaraka wa wazungu wanahangaika sana
Kwa majira ya sasa ya baridi katika mavazi hayo nina wasiwasi!View attachment 208798View attachment 208798View attachment 208798Hii ni hoteli maarufu kwa mikutano ya kimataifa ......walikutana na ujumbe maalum kwa masaa kadhaa.
Prof. Safari ni Prof. wa ukweli aliyepata heshima hiyo kwa kufanya tafiti, kusoma na kuchambua machapisho mbalimbali ya wasomi wenzake na siyo Prof. wa Kichina a.k.a Vasco Da Gama wa Tanzania anayehangaika kona zote za dunia kwa minajili ya kulazimisha kupata heshima kwa gharama za wavuja jasho wa Tanzania.
Na Jk ni prof wa ukwel kwani tafiti alizofanya kuhusu gas hazitoshi kumpa uprof. Majibu aliyopat kwenye tafiti zake kuwa Mtwara hawahitaji gas bal wachina na watu wa bagamoyo ilitosha kumpa UPROF.
Vibaraka wa wazungu wanahangaika sana
Subiri siku wazungu waje na marriage certificate kuwa Bavicha wote mmeozwa ndio utajua chungu ya kujipendekeza kwa wazungu.
Huku nyumbani mbona nyie mmemuuzia singa singa nchi kwa reja reja?Usikute hawa wajinga wanaifanyia udalali nchi yetu!
Kwa majira ya sasa ya baridi katika mavazi hayo nina wasiwasi!