C chuwaalbert JF-Expert Member Sep 17, 2010 3,598 2,115 Jul 23, 2012 #62 Wasira anafanya nini Kigoma huku bajeti ya Kilimo HAINA WAPITISHISHAJI? Au naye alikwenda Zenj?
M Msengapavi JF-Expert Member Oct 23, 2008 8,754 7,536 Jul 23, 2012 #63 Consultant said: CCM inatumia rasilimali zetu vibaya. Hawa mawaziri wanaongoza serikali YETU sote. Kuna haja ya kustipulate kwenye katiba mpya kwamba WAZIRI wa Serikali asiwe na affiliation na chama chochote cha siasa Click to expand... Nakubaliana nawe kwa asilimia 100.
Consultant said: CCM inatumia rasilimali zetu vibaya. Hawa mawaziri wanaongoza serikali YETU sote. Kuna haja ya kustipulate kwenye katiba mpya kwamba WAZIRI wa Serikali asiwe na affiliation na chama chochote cha siasa Click to expand... Nakubaliana nawe kwa asilimia 100.
KIJOME JF-Expert Member Jun 7, 2012 3,084 732 Jul 23, 2012 #65 mmh huu umati,si afadhali hata mkutano wa kijiji una watu wengi,dah pole sana nepi...
Duble Chris JF-Expert Member May 28, 2011 3,481 564 Jul 23, 2012 #66 Rejeo, ritz, zomba, et al mbona hawaji kutupatia nini kilijili huko na kuwa mbaya kiasi hiki kinyume na matarajio
Rejeo, ritz, zomba, et al mbona hawaji kutupatia nini kilijili huko na kuwa mbaya kiasi hiki kinyume na matarajio