ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 556
Act imekuja kuua kile chama cha wachaga moja kwa moja.
kumbe sio kuiua ccm?
Act imekuja kuua kile chama cha wachaga moja kwa moja.
Act imekuja kuua kile chama cha wachaga moja kwa moja.
photoshop hiyo, imeeditiwa pale Ufipa, ACT lijaza watu wengi sana,
acha kutudanganya hapa ,act ni mrengo wa kushoto usituletee porojo zako hapa
Uwanja umekaula hivyo unasema mvua mbona hatuwi wakweli
Kuna mirengo mitano Mkuu....mrengo wa shoto, mrengo wa kulia, mrengo wa kati, mrengo wa kati kulia na mrengo wa kati kushoto.......narudia tena itikadi ya ACT wazalendo ni mrengo wa kati kushoto....
kumbe sio kuiua ccm?