Picha: Mkutano wa ACT-Wazalendo Simiyu

Picha: Mkutano wa ACT-Wazalendo Simiyu

Mbona raia wameanza kuchoka mapema?Lyatonga Mrema walimvumilia karibu miaka mitano,msimchoke mapema jamani
Kama walioenda Samunge kwenye kikombe cha babu, huwezi leo hii ukamsikia hata mmoja akitoa ushuhuda tena!

 
ndio kwanza chama kinatambulishwa! yani kwa mawazo yako unataka kutuaminisha mtoto anaweza kukimbia kabla ya kutambaa eeeh! :rockon:
 
Huko kushoto ndio kuna nani Mkuu
Mrengo wa kushoto ni wajamaa kabisa ambao hawaamini katika mapinduzi ya fikra na wanaamini serikali ndio inapaswa kumiliki uendeshaji wa uchumi kwa asilimia mia moja. Mrengo wa kati kushoto ni wajamaa wanaoamini katika mapinduzi ya fikra na usawa katika jamii na kuhakikisha rasilimali za nchi zinatumika kuboresha maisha ya watu na kuchochea uwezo wao katika kuchangia kujenga uchumi shirikishi ambapo kila mtu ana fursa sawa za maendeleo.
 
DAAAH JOB TRUE TRUE, HIZI PICHA HIZI.. MWL KAIJAGE ALITUBANIA HIZI, DAAAHHH.. KWELI KUENEZA CHAMA NI JOB TRUE TRUE.. HUENDA WAKAZIKANA WENYEWE, MKUUnngu007 ASANTE SANA PICHA ZINAJIELEZA HATA USINGEWEKA MANENO, ; PICHA YA TISA INATOA UJUMBE MZITO SANA, JAMAA KAINUA MIKONO JUU KUWAPUNGIA WATU, THEN NIWATU WATATU TU WANAMSAPOTI.... TUKUTANE OKTOBA. HUU UZI HUU...

hiki chama hakina mvuto kabisaaa!

Huu uzii hautadumu, maana kiongozi mkuu Kajaza nyomi ya kufa mtu hahaahha
ni upuuzi uliotukuka kuanza kuidharau act kwa sasa, ingekuwa hiyo picha imepigwa baada ya miaka kumi toka chama kianzishwe ningewaelewa ila chama bado kichanga mno, kwani wakati mbowe anamfata zito kuomba msaada wa kukiendesha chama na kupanga mikakati chadema ilikuwa na nyomi kila mkoa wanaoenda? roma haikujengwa siku moja
 
Hii definition yake mkuu umeitoa wapi....ningependa kujua hilo kwani hata kwenye nchi za kibepari kabisa kama marekani kuna mrengo wa kushoto na kulia.....

Mrengo wa kushoto ni wajamaa kabisa ambao hawaamini katika mapinduzi ya fikra na wanaamini serikali ndio inapaswa kumiliki uendeshaji wa uchumi kwa asilimia mia moja. Mrengo wa kati kushoto ni wajamaa wanaoamini katika mapinduzi ya fikra na usawa katika jamii na kuhakikisha rasilimali za nchi zinatumika kuboresha maisha ya watu na kuchochea uwezo wao katika kuchangia kujenga uchumi shirikishi ambapo kila mtu ana fursa sawa za maendeleo.
 
DSC_0467.JPG
 
photoshop hiyo, imeeditiwa pale Ufipa, ACT lijaza watu wengi sana,

Hahahaahahahaha Hata Chanel Ten Walichakachua?.Hujaangalia Taarifa ya habari Chanel Ten?. Huna jipya ww kubali tu kuwa watu wanaanza kuwachoka mnaongea pumba tupu.
 
Hii definition yake mkuu umeitoa wapi....ningependa kujua hilo kwani hata kwenye nchi za kibepari kabisa kama marekani kuna mrengo wa kushoto na kulia.....
Mkuu jebibay unaweza kugoogle political ideologies....mambo yote utayaona hadharani.....
 
Last edited by a moderator:
Huu uzii hautadumu, maana kiongozi mkuu Kajaza nyomi ya kufa mtu hahaahha

"Kiongozi Mkuu" inanikumbusha style ya Korea! Wale madkteta wanaorithisha watoto wao uongozi wa nchi na kutawala kwa "fimbo ya chuma" kana kwamba nchi ni milki yao. Kiongozi mkuu wa ACT yupo kwenye mwelekeo huo?? maana anapotaja ujamaa, kiongozi mkuu ... naunganisha dots. (ni mtazamo wangu tu)
 
ndio kwanza chama kinatambulishwa! yani kwa mawazo yako unataka kutuaminisha mtoto anaweza kukimbia kabla ya kutambaa eeeh! :rockon:

Hahahahaha Mbona Mtoto alianza kukimbia tu siku ile Songea?. Sasa baada ya Mwezi anaanza Kutambaa tena kweli hii balaa. Mtoto wa maajabu huyu.
 
ni upuuzi uliotukuka kuanza kuidharau act kwa sasa, ingekuwa hiyo picha imepigwa baada ya miaka kumi toka chama kianzishwe ningewaelewa ila chama bado kichanga mno, kwani wakati mbowe anamfata zito kuomba msaada wa kukiendesha chama na kupanga mikakati chadema ilikuwa na nyomi kila mkoa wanaoenda? roma haikujengwa siku moja

Usijitete Mshamba ww Leo ndio mmetambua kuwa Act chama kichanga acha Ufala ww.Si Mlisema kimekuwa chama kikubwa kuliko CDM?. Mwambie Nuru ya chama amwambie mwenyekiti wake aitishe mkutano akahutubie Songea Mjini km hajapata watu watatu.
 
Back
Top Bottom