Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,622
- 112,698
Namuona na dereva wake hapo pembeni yupo good ....
Mungu ni mwema
Mungu ni mwema
Tutatoa msaada siku mungu wenu wa Lumumba Atakapotiwa uzezeta Na MUNGU halisi,,,na stroke ina mnyemelea mungu wenu wa lumumba kwa uwezo wa Mungu,,,,Ndiyo nasikia vibya sana kwa sababu najali zaidi klk ninyi wanafiki wakubwa, wewe niambie tangu siku ya tuko umetoa msaaada gani kwa Tundu Lisu au Familia yake?
Hizo ni hasira tu zinawatoka kuona jamaa mzima kweli. Usikute mlikua mnaomba aishie hukohuko. Na pia usikute mlikua mnalishwa propaganda kuwa jamaa hoi sana hatopona. Leo lzm mkameze panadol mshushe homa
HalleluyahYaliyofungwa na Mungu mwanadamu hawezi kuyafungua
Dereva aende naye popote pale.Hata kwa safari ya ulaya waende nayeNamuona na dereva wake hapo pembeni yupo good ....
Mungu ni mwema
Mungu wa albadir iliyomfanya mpaka leo dreva awe hoi kisaikolojiaMungu yupi??? MALIYAMUNGU NA BABA YAKE AU???
Ameeen, why not!WATESI WAKE WANATETEMEKA,
WATASEMA KILA LUGHA, WATAIMBA KILA PAMBIO.
NI AIBU KUBWA IMEWAPATA.
sasa ombi langu 2020 kama ZAWADI tumpe nchi hii aitawale.
Nilisema sitapiga Kura kwa aliyofanyiwa lissu, ila nimept nguvu Mpya.
Nitasimama nae 2020 km wazo hilo litaafikiwa.
Hakuna njia ipitayo fahamu za Mwenyezi Mungu.Nani Umewahi kumsikia duniani akapigwa risasi 11 zikaingia mwilini randomly akabaki hai?.Mungu alitangulia kwenye uwanja wa Dula kumuokoa Lissu.Lissu Mwenyezi Mungu analojambo unalotakiwa kulikamilisha kwa Watanzania,ndiyo maana aliuficha uhai wako mbali sana.Tanzania,
Tunamhitaji Lissu awe Rais wa Tanzania 2020. Mungu hakika ana Makusudi na Mtu huyu, Watanzania Tumlinde kwa kila hali usiku na Mchana 24/7. Wanaoweza Kumnunulia Armoured Car wafanye hivyo, kama tunataka aishi nasi mpaka 2020, vinginevyo WAPUUZI waliotaka kuutoa Uhai wake, hawafurahishwi kabisa kumuona akiwa hai, watafanya kila njia! Sisi Watanzania Tumlinde Kwa nguvu zetu zote. Watu wa Namna hii hawazaliwi kila siku!! Ni Zawadi tumepewa, tuitunze!!!
Siamini aiseeeBaada ya jana Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kusema kuwa wananchi wataanza kumuona na kusikia sauti ya Mbunge wa Singida Mashariki, Mhe. Tundu Lissu.
Hii hapa picha yake akioneka na yupo hospitalini, jijini Nairobi.
Ha ha ha haaa.. Toa hiyo Avator Mkuu, Leo umevurugika haswa!Hapo akisikia tu paaa hata tire bust tu, anarudi ICU!
Ashukuriwe Mungu kwa kweliCharismatic,this is Charismatic
Ni dhahiri sasa tunaweza kusema Tundu Lissu rais wa TLS anapendwa na umma ndani na nje ya nchi kuliko tulivyodhani.
Napitia mitandao ya kijamii naguswa na jinsi maendeleo ya afya ya Lissu yalivyoigusa umma wa Watanzania. Watu wamefarijika watu wameumia watu wameliona tabasamu la Lissu,watu wamemshukuru Mungu kwa ulinzi wake ulivyo mkuu.
Hili ni somo linatakiwa liwafikie wale wote waliokuwa wakimchonganisha Lissu na wananchi. Watu wakubwa na vyeo vyao wanashindwa kujibu hoja za watanzania wanabaki kumshambulia Lissu
Ni vyema kutambua pia maombi makali yanayoendelea. Maombi ya watanzania kuwakabidhi waliomdhuru Lissu kwa Mungu aweze kutoa hukumu inayostahili
Kwa chuki zenu mbichi mmefikia kiwango cha kuwakataza watu kumzungumzia Lissu? Mna Mungu nyinyi?
Mungu aliye juu ametenda kumuokoa baba wa watu mdomoni kwa wauwaji wakubwa mashetani,ameendelea kumsimamia Lissu na anaipika adhabu yenu. Malipo ni hapahapa duniani. Soon tutapata majibu ya malipo kabla mwaka haujaisha