Picha: Mavuno ya CHADEMA siku ya Pasaka

Picha: Mavuno ya CHADEMA siku ya Pasaka

Wakati wenzetu wakijichana na kustarehe,sisi tuliibadilisha pasaka kuwa siku ya kuwatetea wanyonge wa taifa hili kwa kuchapa neno jimbo la Mbogwe(OPERATION TIGI TIGI) with no apology

attachment.php


attachment.php

Hongera sana kamanda Mawzo mungu akupe nguvu ili ufike salama na Tarime sijui huku ni lini ili kufuta Utawala wa Nyangwine kabisa na kuelekea kumuapisha Mbunge mtalajiwa na shujaa wetu Heche.bravo.
 
Wakati wenzetu wakijichana na kustarehe,sisi tuliibadilisha pasaka kuwa siku ya kuwatetea wanyonge wa taifa hili kwa kuchapa neno jimbo la Mbogwe(OPERATION TIGI TIGI) with no apology

attachment.php


attachment.php

Naomba kujuzwa hiyo operation tigo tigo. Ni kwa ajili ya watoto au ? Maana hapo ukitoa watu wazima wachache mkusanyiko umejaa watoto tupu. Au umri wa kupiga kura umepunguzwa?
 
Utaonaje jipya?Mungu wetu ni mwema anatakakuleta ukombozi,wanao iteketeza nchi wanapigwa upofu kila Siku.Kuanzisha mfuko wa vijana wamechukua wameweka waa,Escrow wamechukua wameweka waa,mauaji ya ndugu zetu albino wamechukua wameweka waa,kuchoma makanisa na kuwamwagia Mashekh na Mapadre acid wamechukua wameweka waa,BRV Wamechkua wameweka waa,vitambulisho vya kitaifa wamechukua wameweka waa nk ,na Bado
 
safi sana kamanda , japo pasaka hii nilikuwa sina kitu ( nimewambwa ile ngumu ) lakini kwa habari hizi nimetosheka .
 
Ukimaliza maeneo ya kanda ya ziwa ratiba au mipango ikiruhusu tunakuhitaji huku mikoa ya Pwani, Dar, Tanga na Morogoro ..... hongera sana Kamanda tupo Pamoja
 
Naomba kujuzwa hiyo operation tigo tigo. Ni kwa ajili ya watoto au ? Maana hapo ukitoa watu wazima wachache mkusanyiko umejaa watoto tupu. Au umri wa kupiga kura umepunguzwa?
wewe ni wa kuhurumiwa sana !
 
Ukimaliza maeneo ya kanda ya ziwa ratiba au mipango ikiruhusu tunakuhitaji huku mikoa ya Pwani, Dar, Tanga na Morogoro ..... hongera sana Kamanda tupo Pamoja
Mawazo ni kamanda wa ukweli sana , yuko mstari wa mbele sana , amesambaratisha kabisa magamba geita !
 
wewe ni wa kuhurumiwa sana !

Nia yangu sio kupinga hicho kinachofanywa. Ni njia nzuri hasa kwa wanaotaka mabadiliko ktk nchi hii. Nimeuliza vizuri tuu huo mkutano unaosifiwa hapa je hao watoto ndio walengwa? Au wamekuja kuwakilisha wazazi wao. Sometym sio kila kitu tunakimbilia kupost tuu. Mtoa mada angeweza kuedit au kupost pics ambazo zingeamsha hisia na kuwajuza watu kweli japokuwa ni pasaka makamanda wako kazini.

Huwezi kujisifia kuwa eti kuna mmefanya la maana hapo. Mi kwangu naona hakuna la maana coz huo mkutano umejaa watoto tuu.
 
Jamani tunabishana hapa kuhusu elimu ya George masaju,make CV yake haionekani mtandaoni, nisadieni wana jf.
 
Wakati wenzetu wakijichana na kustarehe,sisi tuliibadilisha pasaka kuwa siku ya kuwatetea wanyonge wa taifa hili kwa kuchapa neno jimbo la Mbogwe(OPERATION TIGI TIGI) with no apology

attachment.php


attachment.php

Mbona watoto kibao au CHADEMA ni NGO ya kutetea haki za watoto siku hizi
 
Mawazo ameivuruga Chadema Geita, Sasa hivi wanachadema wote wamepanga kuhamia ACT Wazalendo

Akili yako kama jina lako na hao act wako kwa akili yako laki sipesa ndio maana mabilioni yanaitwa vijisent milion pesa ya mboga pua
 
Wakati wenzetu wakijichana na kustarehe,sisi tuliibadilisha pasaka kuwa siku ya kuwatetea wanyonge wa taifa hili kwa kuchapa neno jimbo la Mbogwe(OPERATION TIGI TIGI) with no apology

attachment.php


attachment.php

pamoja sana makamanda. hakuna kulala mpaka hawa panya (CCM) watoke kihengeni (madarakani).
 
Hiyo picha ys mtu aliyevaa mavazi ya kipolisi ni nani na alikuwa kwenye nini hapo?
 
Back
Top Bottom