Picha: Mavuno ya CHADEMA siku ya Pasaka

Picha: Mavuno ya CHADEMA siku ya Pasaka

Wakati wenzetu wakijichana na kustarehe,sisi tuliibadilisha pasaka kuwa siku ya kuwatetea wanyonge wa taifa hili kwa kuchapa neno jimbo la Mbogwe(OPERATION TIGI TIGI) with no apology

Safi sana kamanda,

Mambo ya Tigitigi mpaka ccm wakae mwaka huu
 
Nawe pia ni msakatonge tu! Kuna nini cha maana hapo kwenye Picha!

Ulitaka tukuone ukiwa umekaa kwenye helkopta?

mtabaki hivi hivi magambalicious,watu wapo field wanasafisha njia nyie mnaponda mitandaoni,kuja kustuka tayari mna notisi ya kufungasha viroba magogoni
 
Wakati wenzetu wakijichana na kustarehe,sisi tuliibadilisha pasaka kuwa siku ya kuwatetea wanyonge wa taifa hili kwa kuchapa neno jimbo la Mbogwe(OPERATION TIGI TIGI) with no apology

Ile kesi yako ya kubaka mwanafunzi imeishia wapi?
 
Nalifanyia kazi jemedari

Niliwahi kuhudhuria mkutano wako Kakola japo niko chama dume lakini kwa upande wa madini yasivyotunufaisha wakazi wa eneo husika hasa Geita na vijiji jirani vya Bulyanhulu ulinigusa sana.
 
Mawazo ameivuruga Chadema Geita, Sasa hivi wanachadema wote wamepanga kuhamia ACT Wazalendo
 
Kamanda wangu mpendwa A. Mawazo, umetumia neno 'Mavuno' Neno hili
kisiasa nalichukulia kuwa na maana ya idadi ya wanachama wa chama.Hiyo
operesheni ilipata wanachama wapya wangapi?
 
Mungu atutie nguvu,pamoja na magumu tunayopitia tusikate wala kukatishwa tamaa

Kumbe kuna magumu munayopitia? Wenzako wa Bavicha wanafikiri kuwa October itakuwa rahisi Kwao wakati hakuna chochote wafanyacho zaidi Ya kukesha mitandaoni wakipiga makofi lakini ukiwaambia umekisaidia nini chama kimya lakini ndio namba Moja wa kulaumu.

Hiyo ndio tofauti kubwa Ya vijana wa Bavicha na CCM kwani sie kila tulipo lazima tukisaidie chama kwa vitendo na siyo porojo nyingi mitandaoni kazi inafanywa na wachache akina Mawazo then mnataka ushindi Kweli?
 
Alphonce Mawazo
Nakukubali sana wewe mpambanaji wa kweli na mwanaharakati halisi, nashukuru Mungu aliyekuumba.
Zamani kidogo nilikuwa nikikusikia kwenye vyomba vya hbr sikujui kama utajiunga na jeshi la ukombozi, Mungu kayasikia maombi yangu kila la khri
 
Wakati wenzetu wakijichana na kustarehe,sisi tuliibadilisha pasaka kuwa siku ya kuwatetea wanyonge wa taifa hili kwa kuchapa neno jimbo la Mbogwe(OPERATION TIGI TIGI) with no apology

Pamoja kamanda,Geita, Mwanza,na kahama lisisalie jiwe,Dhahabu na Almasi zetu miaka 53 sasa tangu tupate uhuru hakuna tija,shule msingi madarasa tu chokambaya
 
Back
Top Bottom