Picha: Mauaji ya Kimbari Rwanda (Rwanda genocide)

Picha: Mauaji ya Kimbari Rwanda (Rwanda genocide)

Hivi silaha walitoa wapi maana bunduki zilizagaa kama pipi
Silaha walitumia mapanga,mashoka,mikuki,mishale, mundu, visu,sime nyembe na bunduki ambazo walizipata kutokana na wanajeshi kufanya uhasi.
 
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, na sisi ndiyo tunaelekea huko, dhambi ya ubaguzi ni mbaya kuliko zote duniani, hapa kuna watu wanajiona wana haki kuliko wengine kwa vile tu tunatofautiana kiitikadi.
 
Hapana mkuu omba sana tusifikie hatua kama hiyo hatuna hata pa kukimbilia na watakaoadhirika zaidi ni wazee mama zetu watoto tafadhali mwenyezi Mungu atuepushe na haya ingawa kuna wajinga wachache wanataka kutugawa kwa maslahi yao washindwe kabisa
 
Silaha ilikuwa ni kile kilichokaribu yako.
images

images



Ilikuwa ni kuua tu,iwe kwa kuchinja au risasi.
images

images



Maiti zikiwa pembeni huku watu wakiwa bize kuokoa uhai wao.
images



Ni kukimbia tu,japo hujui huko unakokwenda kama ndio utasalimika.
images



Walinda amani walipatwa na butwaa kwa kuona maiti kila pembe ya macho yao, na walidhani wanachokiona wapo ndotoni lakini sio hivo.
images

images



Inaelezwa kuwa baadhi ya waliokwenda kulinda amani waliporudi kwao walipatwa na ukichaa kwa waliyoyaona hapa.
images



Sio meno ya Tembo haya,ila ni viungo vya bianadamu.
images



Ni harufu nzito ndio inayomkera,sio maiti kwani huko alikotoka kaziona maiti nyingi mno hadi kufika hapo.
images


Popote silaha unapigwa nayo, na kukujerui kabla ya kukuua ndio ilikuwa furaha ya wauaji.
images


Wamefika kambini, lakini hawaijui kesho yao itakuwa .... maana wauwaji walikuwa wanawafuata hadi kwenye makambi,makanisani na hata shuleni na popote watakapojua mmejificha.
images



Watoa misaada walizidiwa mno na wahitaji msaada,pia inasemekana 75% ya waliokuwa wanatoa misaada walipatwa na matatizo ya akili, kutokana na waliyoyaona hapa.
images



Unayo nguvu ya kusimama kwavile tu ni mwanajeshi,lakini kinyume na hapo ...........
images




Popote ulipo omba amani kwa nguvu zako zote,haswa unapowaangalia watoto/mama/dada/kaka/mume/mke wako utamuachaje/utawaachaje,ewe mtanzania mwenzangu epuka vita kwa gharama yoyote ile kwani makovu ya vita ni makubwa mno.
images
 
Hakuna binadamu namuhanya kama mhutu...sitaki hata salamu yake!!
 
Sasa rais wa nchi anafananisha hapa kwetu na rwanda bila kujiuliza
Ni nani hasa atasababisha mauaji kama si yeye kwa kuliagiza jeshi la polisi??
Wana JF Jamani ni lazima tutumie akili zetu, Rais anaposema au tunataka kuwa kama rwanda? kwa akili za kawaida ni nani atafanya tuwe kama rwanda kama si yeyee??
Tukumbuke kuwa anaeharibu haki za wapinzani ni yeye anaetumia cheo chake akiamini ana majeshii ya kudhuru wapinzanii,,kivyovyote kama ni machafuko ataletaa yeye anaejivunia kuwa na jeshi,,
Haiwezekani haiwezekani na haitawezekana wapinzani wamuogope raisi kwa kaulii za kuzuia mikutano ya upinzani wakat CCM wanafanya,, Huo ni uonevu ambao haukubaliki duniani na hata mbinguni
 
Mbona Kama hii post inazungumzia Wakati ujao timilifu. "Future impossible tense". Acha kupiga ramli.
 
ilikua hatari aisee!

Ni zaidi ya hatari...Ndicho kitu ambacho baadhi wanataka kitokee...wanaandaa maandamano....watu wa nje wanasubiri waone nini kitatokea...nchi jirani huwa wanakimbilia kwetu...yakitokea kama ya Rwanda, sijui tutakwenda wapi...Kenya? Rwanda?, Uganda? Zambia? Malawi?, Msumbiji? DRC?, Burundi? sijui ...au kujitosa baharini?
 
Hebu tuone waliopitia wenzetu ili tujifunze kitu hapa.

images

Inadhaniwa zaidi watu 800,000 walikufa kwenye mauaji haya.

images

Maiti zilizagaa mitaani na mbarabarani, kwa wakati huo kila mtu aliangalia nafsi yake tu.

images

Nani atamsaidi mwenzake, watoto walipoteza karibia familia nzima.

images

Chakula hakuna,na maji yote yalijaa damu za watu.

images

Hata kama hatujali kuhusu sisi basi tuwatafakari watoto wetu wataishi ktk mazingira gani.

images

Hakuna wa kumsaidia, ni kilio chake kwa mama yake kipenzi.

images


images

Unabakwa na kisha wanakuua.

images

Mitaani utazika ya ndugu yako yupi uache yupi.

images

Watoto kuona maiti walishaanza kuzoea.

images

Kila sehemu ni maiti tu.

images

Ni vilio visivyo na msaada,wapo waliosubiri na wao wauliwe kwa maana ana alichobakisha.

images

Wahutu na watutsi wote ni wahamiaji.

images

Maiti zilikusanywa na kutupwa kwenye kaburi la pamoja kisha kijiko kinafukia.

images

Baadhi ya watu waliobahatika kubaki wamening'iniza picha za wapendwa wao waliokufa.

images

Hakuna mwenye tabasamu,ni kumbukumbu mbaya mno maana inasemekana wengine wanawajua waliowauwa ndugu zao ila wameombwa kusameheana ili maisha yaendelee mbele.


Hizi picha wanapashwa wazione ccm na viongozi wao wanaotayarisha mauaji ya kimbari Tanzania. Pengine watapata hata utaalam zaidi wa kuua bila silaha kwa sababu ndiyo kiu yao.
 
Hizi picha wanapashwa wazione ccm na viongozi wao wanaotayarisha mauaji ya kimbari Tanzania. Pengine watapata hata utaalam zaidi wa kuua bila silaha kwa sababu ndiyo kiu yao.
Ni hatari sana.
 
Ni zaidi ya hatari...Ndicho kitu ambacho baadhi wanataka kitokee...wanaandaa maandamano....watu wa nje wanasubiri waone nini kitatokea...nchi jirani huwa wanakimbilia kwetu...yakitokea kama ya Rwanda, sijui tutakwenda wapi...Kenya? Rwanda?, Uganda? Zambia? Malawi?, Msumbiji? DRC?, Burundi? sijui ...au kujitosa baharini?
Wew unaamin watu wakiandamana ndo kutatokea mauaji ya haraiki?
 
Yule mtukufu alyebadilisha katiba ikawa ya milele atawale yeye na M7 walikua nyuma ya aya mauaji
 
Wew unaamin watu wakiandamana ndo kutatokea mauaji ya haraiki?

Duh, kazi ipo kweli kweli kwa comments za aina hii...I can just imagine wewe ni mtu wa aina gani kwa kuandika haraik badala ya halaiki...lakini to put things straight hata mauaji yale ya Rwanda hayakuanza kwa ghafula...Yaani watu wanaanza kuuana tu, haiwezekani ikawa hivyo...chuki zilianza kidogo kidogo au pole pole na pengine kwa muda mrefu....Sasa wale wanaoandaa maandamano hapa kwetu wanajenga mazingira mabovu ya mahusiano nchini, chuki ndipo inapoanzia hapo...wewe unadhani katika maandamano hayo yanayoandaliwa fujo zikitokea na watu wengine kupoteza maisha, mali kuporwa majumbani, madukani na kwenye biashara siyo ndiyo misingi ya chuki na ghasia inapoanzia hapo??? Au wewe mwenzetu unaonaje????
 
Duh, kazi ipo kweli kweli kwa comments za aina hii...I can just imagine wewe ni mtu wa aina gani kwa kuandika haraik badala ya halaiki...lakini to put things straight hata mauaji yale ya Rwanda hayakuanza kwa ghafula...Yaani watu wanaanza kuuana tu, haiwezekani ikawa hivyo...chuki zilianza kidogo kidogo au pole pole na pengine kwa muda mrefu....Sasa wale wanaoandaa maandamano hapa kwetu wanajenga mazingira mabovu ya mahusiano nchini, chuki ndipo inapoanzia hapo...wewe unadhani katika maandamano hayo yanayoandaliwa fujo zikitokea na watu wengine kupoteza maisha, mali kuporwa majumbani, madukani na kwenye biashara siyo ndiyo misingi ya chuki na ghasia inapoanzia hapo??? Au wewe mwenzetu unaonaje????
Mkuu mbona umejifungia kwenye box?
 
Back
Top Bottom