mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,254
- 9,174
Uko sahihi, kidini inawezekana na kisiasa pia inawezekana!
Vita labda kati ya walio nacho na walala hoi...
Uko sahihi, kidini inawezekana na kisiasa pia inawezekana!
Yeah kiukweli chuki ni ngumu kuishaBado chuki itaendelea kuwatafuna kila wakikumbuka hayo mauaji
Ila sisi mkuu tunaishi nao tu, huku ULYANKULU Tabora, kwa sasa kidogo mambo mazuri ila zamani ilikuwa kawaida kuokota maiti kila muda sema serikali imewakalia kooni. Akileta cha kuleta jera.Kama umeona hizo picha, ukikutana na mtu akakwambia ni Mnyarwanda au Mrundi mwogope - ni zaidi ya hatari na hao ndo wanaleta shida kwenye mapori mkoani Kagera. Jamaa wana roho za ajabu.
Jiwe linatengeneza chuki katika kila mipango yakeYeah kiukweli chuki ni ngumu kuisha
Ishi nao kwa tahadali ya hali ya juu; nature yao ni ukatili. Kujifanya wameokoka ni kujivicha kwenye kivuli cha wokovu ili waaminiwe waweze kutimiza malengo yao.Ila sisi mkuu tunaishi nao tu, huku ULYANKULU Tabora, kwa sasa kidogo mambo mazuri ila zamani ilikuwa kawaida kuokota maiti kila muda sema serikali imewakalia kooni. Akileta cha kuleta jera.
Halafu unawakuta wanajifanya wameokoka vibaya sana.
Ila sisi mkuu tunaishi nao tu, huku ULYANKULU Tabora, kwa sasa kidogo mambo mazuri ila zamani ilikuwa kawaida kuokota maiti kila muda sema serikali imewakalia kooni. Akileta cha kuleta jera.
Halafu unawakuta wanajifanya wameokoka vibaya sana.
Hivi viingereza vingine! rate? jamani andikeni kiswahili.Respect to rate Mwl.Jk Nyerere alituwai mapema kikabila...Saiz tunauwezo wakutaniana kikabila bila madhara yoyote kutokea..nadhan angeshindwa kugany ivo leo hii kila mkoa wa Tz ungekuwa nchi mf.Mbeya Republic,Sukumaland Republic.I appreciate your work Mwalimu japo kuna uliozngua ila bado heshima kwako..
ivi muhutu anaonekanaje.Hakuna binadamu namuhanya kama mhutu...sitaki hata salamu yake!!
Kikubwa umeelewa Mami...namuunga mkono bab JHivi viingereza vingine! rate? jamani andikeni kiswahili.
NIlikuwa pale last time, nikapitia mpaka makumbusho. Nikanunua vitabu kadhaa, nikanunua pia Pupple Bracelet iliyoandikwa Never Again. ISIKIE TU.Hebu tuone waliopitia wenzetu ili tujifunze kitu hapa.
![]()
Inadhaniwa zaidi watu 800,000 walikufa kwenye mauaji haya.
![]()
Maiti zilizagaa mitaani na mbarabarani, kwa wakati huo kila mtu aliangalia nafsi yake tu.
![]()
Nani atamsaidi mwenzake, watoto walipoteza karibia familia nzima.
![]()
Chakula hakuna,na maji yote yalijaa damu za watu.
![]()
Hata kama hatujali kuhusu sisi basi tuwatafakari watoto wetu wataishi ktk mazingira gani.
![]()
Hakuna wa kumsaidia, ni kilio chake kwa mama yake kipenzi.
![]()
![]()
Unabakwa na kisha wanakuua.
![]()
Mitaani utazika ya ndugu yako yupi uache yupi.
![]()
Watoto kuona maiti walishaanza kuzoea.
![]()
Kila sehemu ni maiti tu.
![]()
Ni vilio visivyo na msaada,wapo waliosubiri na wao wauliwe kwa maana ana alichobakisha.
![]()
Wahutu na watutsi wote ni wahamiaji.
![]()
Maiti zilikusanywa na kutupwa kwenye kaburi la pamoja kisha kijiko kinafukia.
![]()
Baadhi ya watu waliobahatika kubaki wamening'iniza picha za wapendwa wao waliokufa.
![]()
Hakuna mwenye tabasamu,ni kumbukumbu mbaya mno maana inasemekana wengine wanawajua waliowauwa ndugu zao ila wameombwa kusameheana ili maisha yaendelee mbele.
Na swahiba wao ambaye ndio kiongozi wa maisha wa RwandaMWAKA 1994 JULY NDIYO MWAKA NILIOZALIWA , MPAKA NAFIKA MIAKA 10 JINA LA UKOO NILILOPEWA SIKUJUA MAANA YAKE MPAKA NILIPO FIKA MIAKA 10 NDO NKA KUJA REASON BEHIND MY TRIBAL NAME DAHHHHHH
KI UKWELI NI HISTORIA AMBAYO ISIYOWEZA KUFUTIKA KATIKA DUNIA HIII ,,, NA NILIJARIBU KUFUATILIA CHANZO CHA YOTE NI WALEEEEE WENYE NGOZI NYEUPE , , DAH KWELI 1960s,,to now AFRICA IS COVERED WITH POST COLONIAL ERA .
Walikuwa wananunua mapanga kutoka Ubungo farm Implements. Makontena na makontena ya mapanga yalikuwa yanaingizwa Rwanda, na muda si mfupi yanaisha.Hivi silaha walitoa wapi maana bunduki zilizagaa kama pipi
Aisee...Ilikuwa inatisha sana ilee vita ndo maana kagame anaona akiiacha nchi inaweza kurudi kule kulee..! Ukabila balaa sanaa dhambi ya ubaguziiWalikuwa wananunua mapanga kutoka Ubungo farm Implements. Makontena na makontena ya mapanga yalikuwa yanaingizwa Rwanda, na muda si mfupi yanaisha.
Watu wakajuwa inawekana jamaa wanavunja misitu nambuga za kufa mtu. Kumbe walikuwa wanayaficha ndani, wakisubiria siku.
Siku ilipofika, Mungu ndio anajua.
Kuna wakati, unakatwa kipande kipande kama buchani
walikuwa wakiomba kuuliwa kwa Risasi, wanaambia hawana hadhi ya kuuliwa kwa Risasi. Wanastahiri kuuliwa kwa mapanga.
Acha kabisa.
Yaikie tu, usiombe yakukute
Kwao haikwepi, ni suala la muda tu. Tatizo ni kuwa, kuna kabila (WATUSI) kuwa lina haki ya kuwatawala wengine. Wahutu na watwa huonekana kuwa hawana thamani mbele yao. Na wao ndio huwa hupendelewa kwenye kila kitu, kuanzia utawala mpaka kumiliki Uchumi. U-selfish.Aisee...Ilikuwa inatisha sana ilee vita ndo maana kagame anaona akiiacha nchi inaweza kurudi kule kulee..! Ukabila balaa sanaa dhambi ya ubaguzii