Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) kupitia viongozi wa Baraza la VIjana Taifa la chama hicho (BAVICHA) kimefanya ziara ya kichma katika mikoa ya Rukwa, Iringa, Njombe na Katavi ambapo pamoja na mambo mengine, ziara ilipofika Mkoa wa Rukwa iliweza kuamsha wananchi kwa kiwango cha kumshitua Waziri Mkuu Mizengo Pinda kama alivyonukuliwa Bungeni akijibu swali la Mbunge wa Same, Mama Anne Kilango alietaka kujua Serikali inakauli gani kuhusu mikutano ya CHADEMA hasa jimboni.
Ziara hiyo ilikuwa chini ya uongozi wa Mwenekiti wa BAVICHA, John Heche na Katibu wake, Deo Mushi. Picha zifuatazo ni baadhi ya matukio mbalimbali ya mikutano ya hotuba, mazungumzo na wananchi na kujua kero zao, kufungua matawi n.k
View attachment 60448
Hapa Heche anaonekana akipokea maelezo ya wananchi kuhusiana na tatizo la maji linalowakabili. Picha ya kwanza na ya pili ni shida ya maji ndani ya Jimbo la Waziri Mkuu
View attachment 60449
View attachment 60454
View attachment 60458
View attachment 60459
View attachment 60456
View attachment 60460
View attachment 60463
Ziara hiyo ilikuwa chini ya uongozi wa Mwenekiti wa BAVICHA, John Heche na Katibu wake, Deo Mushi. Picha zifuatazo ni baadhi ya matukio mbalimbali ya mikutano ya hotuba, mazungumzo na wananchi na kujua kero zao, kufungua matawi n.k
View attachment 60448
Hapa Heche anaonekana akipokea maelezo ya wananchi kuhusiana na tatizo la maji linalowakabili. Picha ya kwanza na ya pili ni shida ya maji ndani ya Jimbo la Waziri Mkuu
View attachment 60449
View attachment 60454
View attachment 60458
View attachment 60459
View attachment 60456
View attachment 60460
View attachment 60463