Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Picha: Masheikh Dar wamuombea dua RC Makonda

Magaidi upiga dua wakiwa na AK 47 na mikanda ya kujilipua je hivi maswali hayo ndugu zangu tunajiuliza kweli kuhusu Uislam na duwa?na hapo wakitoka kupiga duwa wanaenda kuchinja watu. Duwa popote wakati wowote Mungu wako ataipokea tuu
Magaidi wapo vitani kujikomboa katika mikono haramu je? Makonda anaomba au anaombewa
 
Tobaaa
Dua imedunda.
Allah hasikii dua za waliovaa viatu.
Ukivua anaskia.
Wapo watu hapa duniani ambao hudhani Mungu Muumba wa mbingu na nchi ni wa kwao peke yao! Kwamba wao ni special zaidi kuliko wale wanaohitilafiana nao ktk ideology za kidini. Mungu ni wa wote ndugu.
Wewe binafsi dua ulizowahi kuomba zote zilijibiwa?
 
Wapo watu hapa duniani ambao hudhani Mungu Muumba wa mbingu na nchi ni wa kwao peke yao! Kwamba wao ni special zaidi kuliko wale wanaohitilafiana nao ktk ideology za kidini. Mungu ni wa wote ndugu.
Wewe binafsi dua ulizowahi kuomba zote zilijibiwa?
Mm sio muislam.
Ni Mkristo
labda kabla hatuja fika mbali..nikuulize swali dogo Unajua utaratibu wa dini ya kiislam na kanuni za kusoma/kumsomea mtu dua zikoje?

Sijasema Mungu ni special kwa watu flan nope.

Nilichomaanisha mm ni kwamba kwa protocal za kusomea dua..kwa jinsi anavyoonekana atakuwa hayuko sahh muheshimiwa.
Mfano waislam wanapokuwa katika jengo la ibada(msikitini)
Huswali wakiwa wameelekea kibla.
Pia huchinja wakiwa wameelekea kibla,hizo ni taratbu za dini ukienda kinyume na taratibu unakuwa umekosea kwaio kitakachofanyika kitakuwa Batili.
Sasa kwa upande huu wa Makonda kwa mwonekano tu hapo alivyo inaoneka yupo kinyume na utaratibu wa dini;
Kama nakosea watakuja wanirekebishe wenye dini yao.
Kwaio ndg soma kwa makini kabla hujaweka dhana yako.
Kumbuka kujibu swali
 
Kabisa yaaaani watu wanacheza na imani hivi hivi Duwa inaombwa mtu akiwa amevaaaa viatu kweli jamaniiiiiiiiiiii
Mmmmmhhhhhhh haya ngoja tuone tunapopekwenda ila hapo hata mwenyeeeeezi mungu haipokei hayo maombi

Ndo hapo sasa mashehe na ustadh watuambie,yani ,dunia imefika mwisho
 
Acha uongo wako Dua inaombwa popote pale , na dua kuombewa si mpk uwe muislam tuu, muislam anaweza hata kumuombea mbuzi, ngamia je hivyo viumbe vina dini?kuhusu viatu sawa lkn pia inategemea hupo katika mazingira gani, mfano umekamatwa na majambazi wanataka kukuua utavua viatu upige dua ?? Mungu upokea dua kwa yoyote na muda wowote hata ukiwa uchi wa mnyama.

Nyinyi wakiristo mnashangaza sana, munataka msamaha kwa Allah na dua toka kwa waislamu ili shida zenu ziwaondokee ilhali hamuamini uwepo wake. Hakuna mantiki yeyote kwa wale mashehe kumuombea makonda. makonda alitakiwa kwanza asilimu aamini katika uislamu sio imani yako ni yesu mtoto wa mungu halafu unataka msamaha toka kwa Allah. It is good for nothing. Hakuna tofauti na yule shehe aliyemlilia nyerere bungeni shida kubwa wanatafuta posho tu wakijaribu kutaka kuudhalilisha uislamu.

Quran ~ Mayahudi na Manasara hawataridhika nasi mpaka tufuate mila zao. “Mayahudi hawatokuwa radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao....

Wakiristo wanatafuta namna kuwafanya waislamu waisahau dini yao inafundisha nini na ndio sasa yanatokea kama haya ni mtihani mkubwa sana na haikubaliki.
 
katika uislamu hakuna utaratibu kama huu umekaa na mimbuti ya viatu kwenye mameza namna hii kama kanisani, kwanza makonda sio muislamu.
Unamaanisha dua za waislam haziwezi penya kwa mtu aliyevaa viatu?
 
Mimi pia Sheikh vile vile.
Na namuombea Makonda Mungu amuumbue km anavyo waumbua wanyonge wasio na Hatia.
Amdhalilishe km anavyodhalilisha watu wasiokuwa na Hatia.
Amporomishe Chini km alivyo mporomosha Firaun na Maadui wa haki wengine.
Na ampige maradhi yasio poneka kwa Dhulma anazofanyia watu wasiokuwa na Hatia.

Can i get "Amen" .

Ahsanta.
AMEN

May Almighty answer your prayers
 
Usitukane imani za watu kama hujui kaa kimya. Muislamu safi aombe dua mtu kavaa viatu?!! Msituharibie imani kwa posho za kidunia kesho mtajibu mbele za haki. Hata Musa aliambiwa vua viatu vyako hapa ni patakatifu. Unamuombea MTU hana udhu hiyo dua gani??
Wewe ni Muislam?

Udhu ni nini?

Mbona unatofautianana Muislam aliyeeleza kuwa Dua inamfikia mtu vyovyote alivyo,

tena akatoa mfano wa mama kumwombea mwanaye aliye mbali...lets assume yupo katika usafiri na amevaa viatu, je Dua haifiki huko?

Hebu jibu hayo
 
Muislamu anamuombea mkiristo dua gani?

Quran tukufu inafahamisha ~ :Enyi mlioamini msiwafanye Mayahudi na WakrisTo kuwa marafiki; wao kwa wao ni marafiki; na miongoni mwenu atakayefanya urafki nao, basi huyu yu pamoja nao; hakika Mwenyezi Mungu Hawaongozi watu wadhalimu.
TAKBIIR..!!
 
Unamaanisha dua za waislam haziwezi penya kwa mtu aliyevaa viatu?

Uwe muislam kwanza ndio mambo mengine yafuate, sio unaamini yesu then uje kwa Allah kutaka manusura kuamini kwamba dua zitakusaidia.
 
Wewe ni Muislam?

Udhu ni nini?

Mbona unatofautianana Muislam aliyeeleza kuwa Dua inamfikia mtu vyovyote alivyo,

tena akatoa mfano wa mama kumwombea mwanaye aliye mbali...lets assume yupo katika usafiri na amevaa viatu, je Dua haifiki huko?

Hebu jibu hayo
Udhu mana yake ni kujitoharisha kwa manuizi maalum ukitumia mara nyingi kw maji kuosha viungo maalum katika mwili wako ili kupata fursa ya kufanya ibada kama swala nk.

Wakiristo mumejisahau sana lakin labda ndio ukiristo, vipi utegemee dua ya muislamu ambaye yeye anamuomba Allah lakini ww unayeombewa unamkana Allah kama sio Mungu unaamini kwenye yesu kristu? ni ujinga uliokubuhu kudhani utapata manusura na kinga toka kwa Allah ilhali humtambui Allah. humtii na huamini katika uislamu.

Unafkiria ukiwa umekufa katika ukiristo dua ya mtoto wako aliyehai akakuombea itakuokoa na moto?

Ni vyema kwanza tukajifunza uislamu na taratibu zake, munapenda sana muombewe ili mupate kinga za Allah ilhali msalaba unaninginia shingoni kwako. Waislamu tumekatazwa kuwafanya makafiri rafiki zetu mana siku zote watataka tufuate mila zao. wale masheikh wanaofanya hivyo kw makafiri wanatumiliwa tu kukidhi matakwa yao binafsi haikubaliki
 
Kwani viongozi wa kidini hawana nafasi kisheria kuwa wanachama au washabiki wa vyama vya siasa?
 
Back
Top Bottom