Umeona wapi amebebwa?halafu kuna wachambuzi maandazi wanadai eti YANGA washamba
We unadhani wangepata nafasi hiyo ya kumbeba mashabiki wangevunga?Umeona wapi amebebwa?
Jezi pekee za Messi ni dili tofauti na akina Sarpong.halafu kuna wachambuzi maandazi wanadai eti YANGA washamba
Ila hapa mashabiki wenzangu wa Yanga mlizingua!! Hapa si ndiyo mlimbeba Injinia baada ya kuwasajili Sarpong na Calinhnos!! Halafu msimu ulipoanza, wote waliishia tu kuchemka!!
Halafu kuna wachambuzi maandazi wanadai eti YANGA washamba