Wanaona simba ni mteremkoKwamba Simba ndio anaweza kuwa kibonde wao. Kama ni kutaka kulipiza kisasi cha Jwaneng basi watutumie sisi maana hawa Simba kwetu ni kama madogo tu kwa hiyo tunaweza jaribu kubeba msalaba wao. Kama wataweza waje tu
Hapana mkuu... mean wanaiogopa YangaKwa maoni inaonekana wanasikitika kwasababu hawatapata upizani wa kutosha kwa yanga,unajua ukijua mpinzani wako ni mdhaifu sana hauwezi kuwa na furaha kwasababu hatakupa changamoto..tukbuke yanga ndio timu iliyoingia robo final kwa point ndogo sana point 8,pia ndio timu iliyoingia robo final kwa kufungwa sana..ndio maana hawa washabaiki wa MAMELODY hawana furaha kukutana na timu dhaifu
Uto wanashindwa kuelewa maana halisi ya hizo comments. Inaonekana Mamelody hawakuridhika na challenge na wamekuwa wakiifuatilia sana Simba na kutamani kukutana nayo .. zile 6-0 za majirani wao, 7-0 za Horoya, 3-0 allizofungwa Kaiser Chiefs, 4-1 za AS Vita, n.k.Kwa maoni inaonekana wanasikitika kwasababu hawatapata upizani wa kutosha kwa yanga,unajua ukijua mpinzani wako ni mdhaifu sana hauwezi kuwa na furaha kwasababu hatakupa changamoto..tukbuke yanga ndio timu iliyoingia robo final kwa point ndogo sana point 8,pia ndio timu iliyoingia robo final kwa kufungwa sana..ndio maana hawa washabaiki wa MAMELODY hawana furaha kukutana na timu dhaifu
simba ndo kamserereko kwenye hii 8 boraMAMELODI "TULIITAKA SIMBA SIO YANGA"
Mashabiki wa Mamelodi huko SOUTH AFRICA wamesema waliomba sana wakutane na SIMBA sio YANGA
Baadhi ya mashabiki wamesema hawana furaha kupangiwa Yanga...
Mamelodi watakula mnara ✋
Walisema wanaitaka Simba kama ambavyo Yanga walivyokuwa wanasema wanaitaka Mamelodi. Kwani Yanga walivyokuwa wanasema wanaitaka Mamelodi ni kwa kuwa Mamelodi ni mteremko au kwa kuwa itawapa kipimo kikubwa? Mamelodi waliitaka Simba 😁Wanaona simba ni mteremko
AahaaaaWanaona simba ni mteremko
Sasa horoya nayo ni timu mkuuUto wanashindwa kuelewa maana halisi ya hizo comments. Inaonekana hawakuridhika na challenge na wamekuwa wakiifuatilia sana Simba na kutamani kukutana nayo .. zile 6-0 za majirani wao, 7-0 za Horoya, 3-0 allizofungwa Kaiser Chiefs, n.k.
Ukifuatilia hizo comments utaona wanaiogopa yangaWalisema wanaitaka Simba kama ambavyo Yanga walivyokuwa wanasema wanaitaka Mamelodi. Kwani Yanga walivyokuwa wanasema wanaitaka Mamelodi ni kwa kuwa Mamelodi ni mteremko au kwa kuwa itawapa kipimo kbwa? Mamelodi waliitaka Simba 😁
Hiyo siyo sababu hujui kiingereza weweWanaona simba ni mteremko
Umesoma comment zao kwanini wanaitaka simba? Au umenscreen shot na kutuma tu jf?MAMELODI "TULIITAKA SIMBA SIO YANGA"
Mashabiki wa Mamelodi huko SOUTH AFRICA wamesema waliomba sana wakutane na SIMBA sio YANGA
Baadhi ya mashabiki wamesema hawana furaha kupangiwa Yanga...
Mamelodi watakula mnara ✋
Hamna mahali wameonyesha kuiogopa yanga, They want simba for revenge on j galaxy. kaka soma lugha ya kigeni ueleweUkifuatilia hizo comments utaona wanaiogopa yanga
Mashabiki au wachezaji? 😁Ukifuatilia hizo comments utaona wanaiogopa yanga
Isome comment ya Ezekiel ya pili kulia "They got massive following and always filling the stadium,we need to be stronger there".Hamna mahali wameonyesha kuiogopa yanga, They want simba for revenge on j galaxy. kaka soma lugha ya kigeni uelewe
Not yet not so fastIsome comment ya Ezekiel ya pili kulia "They got massive following and always filling the stadium,we need to be stronger there".
KWA KAULI HII ITOSHE KUSEMA MASHABIKI WANAIHOFIA YANGA.