Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,024
Naona mapofu yanakutoka..keep on dreaming..
chama cha wananchi kitabaki milele hadi utakufa chenyewe kitakuwepo bisha?
hatuna sababu ya kununua kura @ kura 200,000/- kama chadema na CCM..wao mafisadi
wananchi watakilinda chama chao..
Mbona umepanic kusikia CUF ni maiti inayotoa harufu na Lipumba ndo kaja kuzika mzoga huu?
Othewise punguza jazba alafu :focus: