Mkubwa hujasomeka....Duuuuuh kweli kazi ipo, naona CDM wamejipanga kwa propaganda saizi vizuri sana, mahakama na polisi vilitegemea vingemnukisha Mbowe kwa wanachama wa CDM na wananchi kwa ujumla kumbea ndiyo kwanza wamemuongezea umaarufu. Kweli ukimpiga chura teke ni kumpunguzia safari tu.
Hongera sana Mbowe kwa ku-renew dhamana na pole sana kwa kuswekwa "andar" kwa siku tatu, nakuasa tu, wewe ukiwa ni kiongozi wa chama na unaependwa na walalahoi wengi wa mikoa ya Kaskazini, siku zingine usicheze na Mahakama, fata nyayo za Slaa, mwenzako aliposikia anaitwa akaacha mambo yoote akaenda haraka kuripoti.
Hongera sana Mbowe kwa ku-renew dhamana na pole sana kwa kuswekwa "andar" kwa siku tatu, nakuasa tu, wewe ukiwa ni kiongozi wa chama na unaependwa na walalahoi wengi wa mikoa ya Kaskazini, siku zingine usicheze na Mahakama, fata nyayo za Slaa, mwenzako aliposikia anaitwa akaacha mambo yoote akaenda haraka kuripoti.
Sehemu niliyobold inanipa mashaka juu ya ufikiri wako!! Yaani kweli Mbowe anapendwa mikoa ya Kaskazini tena na walalahoi, basi bana wewe huna macho au umejizuia kwa maksudi kuelewa!Hongera sana Mbowe kwa ku-renew dhamana na pole sana kwa kuswekwa "andar" kwa siku tatu, nakuasa tu, wewe ukiwa ni kiongozi wa chama na unaependwa na walalahoi wengi wa mikoa ya Kaskazini, siku zingine usicheze na Mahakama, fata nyayo za Slaa, mwenzako aliposikia anaitwa akaacha mambo yoote akaenda haraka kuripoti.
Hongera sana Mbowe kwa ku-renew dhamana na pole sana kwa kuswekwa "andar" kwa siku tatu, nakuasa tu, wewe ukiwa ni kiongozi wa chama na unaependwa na walalahoi wengi wa mikoa ya Kaskazini, siku zingine usicheze na Mahakama, fata nyayo za Slaa, mwenzako aliposikia anaitwa akaacha mambo yoote akaenda haraka kuripoti.
Nilimananisha ukimpiga chura teke umempunguzia safari na siyo kwamba umemuumiza, kiswahili hicho cha kimtaa.Mkubwa hujasomeka....
Faiza kutokana na uchokozi wako utawasababisha wengi wapigwe bann!Kampe ushauri huo mmeo au aliyekuma Mbowe hahitaji na hatahitaji ushauri wa kipuuzi kutoka kwa mpuuzi kama wewe
Hongera sana Mbowe kwa ku-renew dhamana na pole sana kwa kuswekwa "andar" kwa siku tatu, nakuasa tu, wewe ukiwa ni kiongozi wa chama na unaependwa na walalahoi wengi wa mikoa ya Kaskazini, siku zingine usicheze na Mahakama, fata nyayo za Slaa, mwenzako aliposikia anaitwa akaacha mambo yoote akaenda haraka kuripoti.
Tiba Huyu FF anajua hasa kitu anachoandika, kazi yake ni kuchangamsha jukwaa, tusiwe so positive minded tuwe constructive minded!!!!!!! Tusiangukie upande mmoja tuu, tuangalia na the other side, mawazo yake!!!!!!!FF inaelekea una mtindio wa akili. suala la mikoa ya kaskazini unalitoa wapi? Ningekutukana tusi baya hapa lakini naogopa ban!!! Hebu tuambie unalipwa Shs, ngapi na wana magamba kuja hapa kuandika upupu!!!!
Tiba
Hongera sana Mbowe kwa ku-renew dhamana na pole sana kwa kuswekwa "andar" kwa siku tatu, nakuasa tu, wewe ukiwa ni kiongozi wa chama na unaependwa na walalahoi wengi wa mikoa ya Kaskazini, siku zingine usicheze na Mahakama, fata nyayo za Slaa, mwenzako aliposikia anaitwa akaacha mambo yoote akaenda haraka kuripoti.
Naona Nape kawapata kweli kweli, manake jana alikuwa anajisifia kwamba sasahivi vijana wake wako kazini.
Bahati mbaya sana wewe badala ya kutumia walau akili yako kidogo tu kujenga hoja, umegeuka kuwa debe.
Watu wamejitokeza kwa wingi dar pasipokujali kabila wala dini zao wewe unakurupuka na mambo yako ya kibaguzi.
Sasa endeleeni kuimba kaskazini, siku mkishituka kusini nayo imegeuka kuwa kaskazini!!
kadada hako nako......matatizo matupu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Any way, nimekuwa nafuatilia posts zako zote; nikagundua siyo great thinker ila ni shabiki fulani. Ni Haki yako pia.
Sehemu niliyobold inanipa mashaka juu ya ufikiri wako!! Yaani kweli Mbowe anapendwa mikoa ya Kaskazini tena na walalahoi, basi bana wewe huna macho au umejizuia kwa maksudi kuelewa!