Picha: Mama Lowassa afanya kufuru Iringa Mjini

Picha: Mama Lowassa afanya kufuru Iringa Mjini

Tumeendelea siku izi mke anamnadi mumewe.
Nilidhani on the same stage na mumewe ndo angefanya hayo.
Nadhani ni namna ya kubalnce mziki wa CCM ie JPM na Samia vs EL na Mkewe ionekane wanawake wamekuwa taken care.
Ila heading imekaa kishabiki
 
Huyu mama huyu kiukweli Lowassa alibarikiwa kumpata, kakomaa mae mwanzo mwisho
 
Mleta mada hii, sijui ni mtanzania au? inashangaza sana mke wa mtu kumwita mama yake. Hivi watanzania mnakipeleka wapi kiswahili chetu? Huyu ni mke wa Lowassa na si Mama Lowasa. Hili limekua tatizo sugu hapa tanzania kwa watu kuwaita wake za viongozi mama zao. Hebu jamani tuoneshe basi kuwa tanzania ndo chimbuko la kiswahili kwa kukienzi. Hainiingii akilini mke wa kiongozi kumwita mama yake! shame on you.

ungeanzia kuwakosoa baadhi ya watangazaji wa tbc taifa, wao husema ''mke wa rais mama salma kikwete''
 
Wamama wa Ukawa wako katika hali ya uelewa mpaka unapata matumaini kuwa ni washauri wazuri katika familia zao;
View attachment 298528
View attachment 298529

Wakati huo huo upande wa pili wamama wa chama kongwe wameonyesha kuwa wao ni mahiri sana katika masuala ya mauno mauno na vituko vya ajabu visivyo staha kwenye familia;
View attachment 298532
View attachment 298533

Yaani mke wangu ni ccm damu ila katika hili leo kwa mara ya kwanza ananiambia hao wanaofanya huo upuuzi majukwaani ni wapumbafu hawajitambui dah mpaka nimecheka imenibidi nimuonyeshe uyu mmama anaepiga pushup dah akasema angekua katika jimbo la uyo mmama japo yeye ni ccm wala asingempigia mtu anayeleta mdhaha katika mambo ya maendeleo ya taifa
 
Katika vitu ukawa wanajisahau ni Kutoa Elimu ya kupigia kura maana kuna watu wana hasira ila hawajawahi.kupiga kura



Ccm wanafanya hivyo ila sisi hatutoi Elimu

Usijifanye umevurugwa hao watu waisikilizeNEC!Isitoshe kupiga kura sio kubeba zege ndo maana hata wazee wanapiga fasta tu!Kura utapiga kituo ulichojiandikishia na utapewa maelekezo na makarani wa kituo utakapofika!
 
Yaani mke wangu ni ccm damu ila katika hili leo kwa mara ya kwanza ananiambia hao wanaofanya huo upuuzi majukwaani ni wapumbafu hawajitambui dah mpaka nimecheka imenibidi nimuonyeshe uyu mmama anaepiga pushup dah akasema angekua katika jimbo la uyo mmama japo yeye ni ccm wala asingempigia mtu anayeleta mdhaha katika mambo ya maendeleo ya taifa

Oktoba sio mbali kelele hizi zote zinaisha!
 
ccm wanahangaika na mcheza muvi za ngono ndio aongee na mama zetu!!
ptuuuuuuuh!!!
mama yangu akikubali kwenda kwenye mkutano wa yule malaya nahama ukoo
 
mama nimemkubali mikutano yake idadi ya watu ni sawa kabisa na zile za Magufuli! Lowasa tu ndo Level nyingine!

The Elephant hapa umeongea ukweli kabisa ndugu. Tena picha hizi zenye mahudhulio makubwa ukimtumia MR CHIN atazifyatua na kuzifanya zionekane na wingi wa watu mara mbili ya hapo.
 
Katika vitu ukawa wanajisahau ni Kutoa Elimu ya kupigia kura maana kuna watu wana hasira ila hawajawahi.kupiga kura

Ccm wanafanya hivyo ila sisi hatutoi Elimu

Mimi mwenyewe na hasira kinyama ila naomba kuuliza livema,tiki au pata nitakalomwekea lowasa halipaswi kuvuka kisanduku nipeni msaada kura yangu isije ikaharibika jamani please!
 
Nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke. For sure kufanikiwa ukiwa huna mke ni ngumu sana na hutaheshimika. I now understand kwa nini Lowasa hajibu matusi, ni kwa sababu kuna mtu pembeni yake anampa moyo. Hongera mama Lowasa, akina mama wengine igeni moyo wa huyu mama.

Nakumbuka mara ya kwanza baada ya Lowasa kukatwa na ccm iliripotiwa kuwa huyu mama alimzuia mume wake asiende cdm, lakini kwa unyenyekevu baada ya mume wake kwenda cdm amekuwa bega kwa bega na mume wake. Ni ishara tosha kwamba hii nchi itapata pengine first Lady wa kwanza kama jamaa ataingia ikulu...
 
Mama Lowassa roho nyeupe,kicheko cheupe.Tunakuombea daima uendelee na kampeni hadi Lowassa ingie ikulu kwa kura nyingi
attachment.php
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom