Picha: Mama Lowassa afanya kufuru Iringa Mjini

Picha: Mama Lowassa afanya kufuru Iringa Mjini

dah huyu mama naye noma yani yy naye anapata watu wengi sana bila wasanii nahis hata mgombea mwenza wa sisiemu bila wasanii hamkuti kwa wingi wa watu
 
Katika vitu ukawa wanajisahau ni Kutoa Elimu ya kupigia kura maana kuna watu wana hasira ila hawajawahi.kupiga kura

Ccm wanafanya hivyo ila sisi hatutoi Elimu

Hiki kitu kamanda nishawahi kusema fb kule kuwa CDM ifundishe watu jinsi ya kupiga kura maana kuna watu wana hasira sana na watajikuta wakiharibu kura. Njema hii kamanda
 
Mkuu Ocampo four hilo suala la kalamu ni very serious nimelipata kutoka kwenye verified source aisee tuhamasishe watu shime wana mabadiliko make sure unaenda and kalamu yako
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Ocampo four hilo suala la kalamu ni very serious nimelipata kutoka kwenye verified source aisee tuhamasishe watu shime wana mabadiliko make sure unaenda and kalamu yako

Tubebe na ikiwezekana tujitolee kununua karamu kibao tuzigawe kwa wana mabadiliko
 
Last edited by a moderator:
Yani mume anangurumisha geita mke yuko busy na Iringa!!!

Nasema tena na tena NIKIPATA MSICHANA MWENYE TABIA KAMA HUYU FIRST LADY WETU MTARAJIWA mimi na ubachela tunaachana!!!
 
Wamama wa Ukawa wako katika hali ya uelewa mpaka unapata matumaini kuwa ni washauri wazuri katika familia zao;
ImageUploadedByJamiiForums1444756577.517624.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1444756674.180835.jpg

Wakati huo huo upande wa pili wamama wa chama kongwe wameonyesha kuwa wao ni mahiri sana katika masuala ya mauno mauno na vituko vya ajabu visivyo staha kwenye familia;
ImageUploadedByJamiiForums1444756838.151465.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1444756859.460535.jpg
 
Katika vitu ukawa wanajisahau ni Kutoa Elimu ya kupigia kura maana kuna watu wana hasira ila hawajawahi.kupiga kura

Ccm wanafanya hivyo ila sisi hatutoi Elimu

Hili ni kweli kabisa. Yani kuna watu wana hasira sana ya kuiondoa ccm na watakapofika kwenye chumba cha kupigia kura watajikuta wanaharibu kura zao.

Jamani ukawa kwenye majukwaa hebu muwape darasa wapiga kura jinsi ya kupiga kura kwa usahihi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom