Picha: Mama Lowassa afanya kufuru Iringa Mjini

Picha: Mama Lowassa afanya kufuru Iringa Mjini

Mama Regina Lowasa amekuwa mwanamke mfano wa kuigwa katika jamii.huyu ndo first lady wetu.
yule Magufuli ameshakataa ndo maana haonekani .
 
Ukweli huyu mama anajiamin kwel kweli angalia hapo ni mke walowassa kaja kuongea na wana iringa nyomi hiloooo upande wa pili mpaka kina shilole ndo kidogo panajaa jaaa lowasa2015
 
Mungu amjalie maisha mema! Mama huyu anatakiwa apewe tuzo ya mama bora wa mfano afrika. Naimani cku ya kuapishwa apewe tuzo nora.
 
Yahaya (ndugu Mwakalebela) anahaha level za Msigwa ngumu kwake

Mama Lowassa anafaa kuwa First Lady
 
Malofa hamueleweki na mna double standard za hali ya juu. Mambo hayo alipoanza kuyafanya Salma Kikwete, hamkuisha kupiga kelele kuwa anageuza urais kuwa suala la kifamilia. Leo anayafanya huyo lofa mwenzenu, mnaona sawa. Akienda kuanzisha taasisi ya "MOMA"huko mnakotaka kumpeleka, sjui mtalalamika?

Wanajifanya kusahau cjui kwa nn watu wanajitoa ufahamu kiasi hiki
 
Dr Slaa na Shoga ake Mzeemwana Kijiji wakiona hizo picha wanapata kiwewe.....


maana OZ imedoda mbaya
 
Magufuli ana mke kweli??

Yule ticha washapigana kibuti kwa sababu padilok alichukuwa chuda mwingine akampa limjengo la serikali, sasa hivi mijamaa ya lumumba inajaribu kuweka mambo sawa lakini imekuwa ngumu! Ticha kagoma tena ameokoka ha ha ha!
 
Malofa hamueleweki na mna double standard za hali ya juu. Mambo hayo alipoanza kuyafanya Salma Kikwete, hamkuisha kupiga kelele kuwa anageuza urais kuwa suala la kifamilia. Leo anayafanya huyo lofa mwenzenu, mnaona sawa. Akienda kuanzisha taasisi ya "MOMA"huko mnakotaka kumpeleka, sjui mtalalamika?
Ulitakiwa kufikiri vizuri kabla ya kuropoka, Salma Rashid Kikwete alimfanyia mumewe kampeni katika kipindi cha pili cha utawala wa JK. Alikuwa akifanya kampeni akitokea ikulu, akitumia magari na walinzi wa serikali na alikuwa anapokelewa kila alipokwenda na viongozi wa serikali! Hii ndiyo watu walipigia kelele! Ni tofauti kabisa na Mama Reg Lowassa anavyofanya sasa,yeye anatokea nyumbani kwake,kwa gharama zake mwenyewe, walinzi wake mwenyewe na anapokelewa na wanachama na wapenzi wa mumewe.
 
Malofa hamueleweki na mna double standard za hali ya juu. Mambo hayo alipoanza kuyafanya Salma Kikwete, hamkuisha kupiga kelele kuwa anageuza urais kuwa suala la kifamilia. Leo anayafanya huyo lofa mwenzenu, mnaona sawa. Akienda kuanzisha taasisi ya "MOMA"huko mnakotaka kumpeleka, sjui mtalalamika?

Ah.kama umekasirika ginyee bana ustusumbue.
 
Katika vitu ukawa wanajisahau ni Kutoa Elimu ya kupigia kura maana kuna watu wana hasira ila hawajawahi.kupiga kura

Ccm wanafanya hivyo ila sisi hatutoi Elimu

Tuelimishen jins ya kupiga kura tusije kuchemsha
 
Yule ticha washapigana kibuti kwa sababu padilok alichukuwa chuda mwingine akampa limjengo la serikali, sasa hivi mijamaa ya lumumba inajaribu kuweka mambo sawa lakini imekuwa ngumu! Ticha kagoma tena ameokoka ha ha ha!
Kumbe mshkaji mzinzi eee...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom