Picha: Magufuli atinga jikoni kusonga ugali

Picha: Magufuli atinga jikoni kusonga ugali

Hivi huyu Jamaa kichaa chake alipona kweli..? Magufuli big Nooooo..!!
 

Jumapili, January 4, 2015




Mgombea Urais wa CCM Dr John Magufuli ameendelea kuwa karibu zaidi na wananchi baada ya kuingia jikoni kusaidiana na wanawake wa Geita kupika ugali.



Unaweza kukuta huo ugali unapelekwa kwenye kampeni, ndio maana unawekwa kwenye hilo lindoo lichafu!
 
Mbona Lowasa alipokula kwa mama ntilie na kupanda daladala mlimfagilia?Ina maana alikuwa anatufundisha wanaume wote nchini kula magengeni?Tena ilikuwa kipindi cha kipindupindu
 
wanaume wetu wapendwa! igeni mfano huu jamani, heyaaa!! Mwanaume kusonga ugali atii!!
 

Jumapili, January 4, 2015




Mgombea Urais wa CCM Dr John Magufuli ameendelea kuwa karibu zaidi na wananchi baada ya kuingia jikoni kusaidiana na wanawake wa Geita kupika ugali.



Hivi Januari 2015 alikuwa tayari mgombea?
 
Magufuli jembe na mbunifu.
Hiyo ni namna alivyo karibu na wananchi.

ameshindwa kubuni slogan zake Leo hii yeye ajiita ni M4C alafu eti magufuli ni mbunifu!yule ni mwigizaji tu ubunifu hana.
 

Jumapili, January 4, 2015




Mgombea Urais wa CCM Dr John Magufuli ameendelea kuwa karibu zaidi na wananchi baada ya kuingia jikoni kusaidiana na wanawake wa Geita kupika ugali.



Ukweli ni kwamba haya tuyaonayo ni kusaka fursa tu kufikia malengo yao. Fanyeni muyafanyayo, mwisho wa siku kila mtu na msalaba wake.
 
Huyo ndo mkemia?????anawekaje chakula cha moto kwenye plastic??wataalamu tusaidieni

mtatafuta kila sababu,jamaa ndo anakwenda huyo,,,,,mgejua ile pushapu ilivyovuta hisia za watu wala hamngehangaika kujaribu kuponda
 
Nitapiga kura kumpa yule ninayeamini ataleta mabadiliko katika Tanzania tuiotakayo,hata kama nitakayempigia hatashinda lakini nitakuwa nimetenda haja ya moyo wangu,kwa kuwa tarehe ya 26.10.2015 nitaamka asubuhi na mapema kama ninavyoaamka siku zote ili niwahi kwenye majukumu yangu ya kila siku ya kujiingizia kipato ili familia yangu iendeleee kusonga mbele,kwa kuwa hata akishinda EL au JPM bado maisha yangu lazima yaende kwa style hihiii.
 
Huu ndiyo mwendelezo wa ule mchezo wa mzee wa ndovu anakuwa na taaluma zote kila akifika mahali anafanya kitu wanachofanya....juzi tumemwona Magufuli mwenye akiwa mbeba vyuma kwa kupiga vi-push up vinne sijui anadhani urais ni kwenda kusonga ugali na kupiga push up? Hatudanganyiki kwa hayo
 
Hili linasaidia nini taifa kunufaika na madini yake ambayo yamegawiwa kama sadaka na sheria ya madini ya mwaka 1997 badala kuwaambia wananchi wa geita atafanya nini ili madini yaliyopo geita atafanya nini ili yawanufaishe wananchi wa hapo na taifa kwa ujumla anabaki kuvamia fani ya kina kingwendu mapepe kuleta komedi
 
Back
Top Bottom