makundubhyali
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,389
- 886
Yupo karibu na watu wake,vizur sana
Na lowassa ajaribu kama hata,,,,,,,,,,,,,,,,,
hata kuushika tu hawezi bora magufuli anayeyajua matatzo ya watu
Ni muda wa mabadiliko tu..Hapa ni pipoooz..
huezi kuwasidia wakati hujajua ni kwa namna gani wanateseka kama ni mateso,ndiyo maana anaungana nao then anawaandalia mazingira mazuri ya kupikia,fikiri kabla hujaandika na ndiyo maana ya kuwa field ayaone matatizo ya watu na awaombe wamchague ili ayatatue:A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade::A S shade: