vyema sana hayo maisha ameyaishi na anayaishi si mtu wa maigizo ila anatenda na kwa ukaribu huu tutafika mbali Tanzania tumempata rais mwenye mapenz ya dhati na watanzania
Kama kiongozi alipaswa kuja na njia ya kuwasaidia hawa wakinamama wapike mahala ambapo hakuna moshi. Baadae wanaonekana wachawi kwa macho mekundu alafu wanauliwa.
Cha ajabu anafurahi maana yake amelizika na hicho wanachofanya.
HAYA NI MADHARA YA KUZUNGUKWA NA WASANII(BONGO MUVI, KIKOSI CHA MATUSI, COMEDY NA BONGO FLEVA)KWA MUDA WOTE WA KAMPENI.
Yaani huyo Magufuli leo ,leo ,leo hii ndio anaenda kuangaika na Majungu ya ukoko,wa ugali ,aahaa kweli kiboko..nafasi yake angekuwa alishafanya hayo siku nyingi ,kwanini leo anautaka Uraisi ndio anaenda kukoroga Ugali..aoni aibu kwa kweli..ilikuwa tosha tuu angetaka kujua Magumu gani wanayapata hawa wamama ntilie,na jinsi ya kuwasaidi.kama angetaka kusonga ugali angempikia mkewe na familia yake tuu..sisi wananchi hatuitaji Raisi anayejua kusonga ugali na kupiga push up.tunataka rahisi atakaye tuwezesha kupata elimu bora,huduma bora za jamii,kama hospitalini,kilimo,barabara kwa kusafirisha mazao yetu..kweli CCM kwisha mwaka huu..
Anaweza akawa ni kiongozi wa kucheka cheka!!
Kuna mahusiano sababu Rais anakula.Kupika Na Urais Kuna Uhusiano Gani?
Punguza hasira angalia vizuri mleta mada ameleta picha ya mwezi Januari,kipindi hata fomu za kugombea zilikuwa hazijatolewa,tena Lowassa na Sumaye wakiwa bado makada wa CCM
Atapiga deki kama Lowassa akinyea tena!Bado kuosha vyombo na kupiga deki.