Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
pun'go nilkuwa namfananisha na anelka kw kwi kwi
Hata mimi mkuu, hebu cheki hapa chini
pun'go nilkuwa namfananisha na anelka kw kwi kwi
Basi nakumbuka kuna toleo moja lilitoka miaka ya 80's, Kifimbocheza Apambana na Wachafuzi wa Lugha, aliwavizia vijana kijiweni na kuwasikia wanaelezana stori kama hivi:
A: BASI JANA LILIANGUKA VALANGATI KIJIWENI USISIKIE
B: EHE LIKUWAJE
A: ILIKUWA HEAVY, NIKAKUTANA NA PANGASPY, AKAANZA KUPAKAZA,. KANITIA LOBA, ANASEMA ETI NIMEMCHEZA FIX!
Yaani we ndugu yangu acha kabisa enzi za F1-F4 nilikuwa sikosi toleo la SANI japo hela hata shs 10/= ilikuwa mgogoro kipidi hicho. By the way, Said Bawji yuko wapi sasa? WAMASA hii kampuni ado ipo au ilkufa? Namkumbuka sana na kati ya maachapiho yake niliyotokea kuyapenda sana utotoni ni Kitabu chake kilichokuwa na kichwa USIKU WA BALAA. Humo alikwemo Mzee Ole, Kibibi Gula na wengine siwakmbuki vizuri majina, yaani ilikuwa n balaa tupu![/QUO