Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,349
- 8,081
Timu nzima mzee meko ndiye alikuwa anavaa shati, nakumbuka kuna game kulitokea valangati basi mzee Huihui wa Bush Stars akawakaba kabali wachezaji wawili wa Born Town akawauliza "kwani nyie mlikuwa mnasemaje".
!
!
hahahahahaha noma sana mkuu unanikumbusha mbaaaali sana mkuu wa nchi