Picha: Mabaki ya Ndege iliyomuua Bob Sambeke.

Picha: Mabaki ya Ndege iliyomuua Bob Sambeke.

Mzee wa Rula

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2010
Posts
8,169
Reaction score
3,358
DSC03431.JPG

DSC03435.JPG


DSC03444.JPG

Eneo ambalo ndege iliyoanguka, kutoka eneo hilo mpaka landing truck ni kama 1km. Mbele ya mabaki hayo ya ndege kuna mti mmoja ambayo unasadikiwa ndipo ndege hiyo ilijigonga na kudondoka chini.
 
Mkuu asante kwa picha nilkuwa najiuliza namna ya kwenda kuchukua picha mnaana nilijua uko korogwe...
 
Hivi uwanja wa ndege wa arusha unafungwa usiku??
 
Hivi uwanja wa ndege wa arusha unafungwa usiku??

Uwanja wa ndege wa ndege wa Arusha unafungwa saa kumi na mbili na nusu kwa sababu hauna taa. Na jamaa inasadikiwa alikuwa anatua nje ya muda yaani baada ya uwanja kufungwa.
 
Mkuu asante kwa picha nilkuwa najiuliza namna ya kwenda kuchukua picha mnaana nilijua uko korogwe...

Baba hatukulala, tumerudi saa sita usiku. Mambo yalikuwa kama yalivyopangwa.
 
Goodbye Maule......sikujua kama utaishia hivi.....you were scary tho.......


Sambeki was scary and good heated, mtoaji sana, mtundu sana na mcheshi.

Pumzika Bob, Sisi Nyuma Yako.
 
RIP Bob Sandeke ulikuwa kipenzi cha watu, lakini Mungu amekupenda.
 
Pumzika Bob ila nkiangalia historia yako naona yote aachiwe Mungu tu!

Kweli aachiwe Mungu maana yeye ndiye hakimu wa haki na kweli, kifupi kuna watu watakuwa wamefurahi na kuna watu watakuwa wamesikitika lakini jamaa anasikia kaacha mali nyingi sana na alikuwa tajiri wa kutupwa kibongo bongo.
 
what is happening kwa matajiri wa arusha town. Ninaona kama miezi hii miwili wamekufa wengi kiaina. Mara yule aliyefia Mahenge...mara wakili mara rubani wake....kitu gani kinatokea ambacho wengine hatukijui?
 
Back
Top Bottom