Picha: Maaskofu watoa tamko kuchomwa kwa makanisa jijini Dar es salaam

Kwani unadhani hizo ndizo cleasing pekee zilizopo?Vipi political and regional?Unaujuaje wanyakyusa wanasemaje kuhusu mlolongo wa watu wao waliokumbwa na mengi?Unasemaji watu wakianza hunt down polisi?unasemajie watu wakiamua wahughulikiwa wanaCCM?Mbona ya Mfano wa Lema umeuruka?Nini kinakufanya uone kuwa issue ya ulimboka ni nyepesi?

Hizo zitajadilikwa kama zikienda OVER THE TRASH CANE as KUCHOMA MAKANISA right now ni DUKUDUKU
 

Hizo zitajadilikwa kama zikienda OVER THE TRASH CANE as KUCHOMA MAKANISA right now ni DUKUDUKU

Sijaelewa umejibu maswali yepi kati ya niliyokuuliza?Ili tuweze tick na kuendelea.Wakati unanipatia jibu hembu fikiria maaskofu wangesema kuwa wanatoa copy za kiswahili za kitabu cha Salman Rushdie "satanic verses",kbaada ya kuprint na kuziweka ready mtik makanisa nchi nzima, by the time wakitoa matamko wanawagawia na waandishi wa habari huku zoezi likifanyika nchi nzima.Serikali ingewashitaki kwa Lipi?Na waislam wangereact vipi,na reaction yao ingewafundisha nini vijana watafiti kama aliyekojolea alicholetea akojolee?

Ndhani unaweza elewa kwanini walitakiwa toa tamko, na tamko lao lilikuwa likiombwa liwe la busara.Hujawahi jiuliza kwanini serikali itakuwa na hofu sana kma Ponda akigombea katk chama cha kisiasa na kwa mahati mbaya akajikuta anapata kura za kumpatiaushindi kwa level aliyogombea kuliko hata pengo kugombea urais?
 
Malawi wanapandikiza na kutekeleza yote haya ili tuchukiane na kupigana wenyewe kwa wenyewe wao waje kumalizia
 
Mnawasiwasi gani maaskofu wakati mtachukua hela katika MOU mrekebishe majengo yenu, ambapo katika MOU hiyo kuna hela za waislamu pia.


Sisi maaskofu na viongozi wa makanisa ya kikristo kutoka CCT, TEC na PCT baada ya kusikia na kuona katika vyombo vya habari juu ya uvamizi wa makanisa tumechukua fursa ya siku hii ya leo ili;-

1)Kujionea wenyewe madhara yaliyotokea
2)Kutoa pole kwa waumini wetu
3)Kushiriki pamoja uchungu wa madhara yaliyotupata
4)Kuwepo kwa pamoja namna ya kukabiliana na uvamizi huo

Baada ya kutembelea maeneo yaliyovamiwa na kujionea uharibifu uliotokea
1)Tumeona uchungu na masikitiko ya kwamba watanzania tumefikia kiwango hicho cha kumtendea jirani yake
2)Tunatambua subira na uvumilivu mkubwa uliooneshwa na wakristo kuepusha majibizano ambayo yangeweza kuleta athari kubwa zaidi.
3)Tumeziona juhudi za jeshi la polisi katika kudhibiti hali ya vurugu na kuepusha kupoteza uhai wa raia.

Katika wakati huu
1) Tunawaalika wakristo wote kutolea sala na maombi kwa Mungu aliye mlinzi wet,usalama na ulinzi wetu uko mikononi mwa Mungu pekee.
2)Tunatambua kuwa usalama wa wafuasi wa Kikristo ni haki ya msingi kama raia wengine wowote, ni mategemeo yetu kwamba wakristo na nyumba zao za ibada vinastahili kuhakikishiwa usalama.

Tunapenda kuwaambia Wakristo wenzetu kwamba kikao chetu cha leo kimetupa fursa ya kujionea wenyewe hali halisi ya uvamizi, kwasasa tunajiandaa kuchukua hatua muafaka. Tutawarudia hivi karibuni mbele ya vyombo husika yale yaliyo maamuzi yetu.
Kwa wakati huu tunawaomba muendelee kuwa wavumilivu na watulivu na muwe macho katika kulinda mali na nyumba zetu za ibada kwa kushirikiana na vyombo vya usalama.

Tunawapa pole wote na kuwatakia Baraka za Mungu.
 
Mungu ni Peeeeendo!
Apenda Waaaaatu!
Mungu ni Peeeeendo!
Anipenda.

Sikilizeeeeeeni!
Furaha yaaaaangu!
Mungu ni Peeeeendo!
Anipenda.
 
Nilazima muwafundshe watoto wenu nidhamu, adabu na ustaarabu. Naamini mtoto wa Kiislam hawezi kkojolea Bibilia kwani wanafundishwa nidhamu , adabu na kuheshimu wengine

Mlikuwa na kawaida ya kukojoa wima tukawafundisha ustaarabu, sasa niwakati muwafundishe watoto wenu, Kama hamtofundisha watoto wenu sehemu za kukojoa chamtamakuni mtaendelea kukiona
Dr.Who Mbona hamumzungumzii huyo mtoto wa kiislamu ambaye ndiye alimthubutisha mwenzie, akaenda nyumbani kwao na kuleta msahafu?

Hiyo ndiyo nidhamu aliyofundishwa? Kumthubutisha mwenzake afanyie majaribio kitu ambacho yeye anajua ni kitakatifu!

Hapo nani anayekosa nidhamu, adabu na heshima ya mambo matakatifu?
 
Nilazima muwafundshe watoto wenu nidhamu, adabu na ustaarabu. Naamini mtoto wa Kiislam hawezi kkojolea Bibilia kwani wanafundishwa nidhamu , adabu na kuheshimu wengine

Mlikuwa na kawaida ya kukojoa wima tukawafundisha ustaarabu, sasa niwakati muwafundishe watoto wenu, Kama hamtofundisha watoto wenu sehemu za kukojoa chamtamakuni mtaendelea kukiona

we mla urojo na tende nini? ukivaa don touch sio kwamba na uwezo wa kufikiri upungue, na mara zote huwezi kuvamia tu mjadala kama hata uwezo wa kuelewa huna. nyinyi ndo mnaotumwatumwa tu, ingetosha kutocoment. ustaarabu unajua maana yake? haya kuna kesi za cospirancy na armd rbbery. hamna dhamana na kesi tunaanza kusikiliza after ten years. Mkome na poda na farah aidid wenu.
 
walichofanya waislamu wenzangu sio chema na pia nakilaani
pamoja na hayo najua wakristo wanawaogopa waislamu kabisaaa
halikwepeki hilo, wakrista woga,wanaipenda sana dunia
na waislamu wanalijua hilo, ishu sio busara bali woga, kifo mchezo
waache pombe na kitimoto aseeeee

ni kawaida kwa magaidi hawaogopi kufa wala kujitoa muhanga
 
ndio maana huwa najivunia kuwa mkristo................

tena najivunia YESU , hata hawa ndugu zetu tukiwaombea wanaokoka na kumpokea Yesu wakiongozwa na mr ponda waache kumtegemea Mungu mtu. Jamani kwa YESU kuna furaha mtajuta siku zote mlikuwa wapi hamkumtambua,waulizeni wenzenu waliookoka na kubatizwa.
 
Kuanzia leo nakuwa mkristo. Hizi busara kumbe ndo maana Mungu amewajalia busara na hekima. Hata elimu wanafanikiwa.
 
Sijaelewa umejibu maswali yepi kati ya niliyokuuliza?Ili tuweze tick na kuendelea.Wakati unanipatia jibu hembu fikiria maaskofu wangesema kuwa wanatoa copy za kiswahili za kitabu cha Salman Rushdie "satanic verses",kbaada ya kuprint na kuziweka ready mtik makanisa nchi nzima, by the time wakitoa matamko wanawagawia na waandishi wa habari huku zoezi likifanyika nchi nzima.Serikali ingewashitaki kwa Lipi?Na waislam wangereact vipi,na reaction yao ingewafundisha nini vijana watafiti kama aliyekojolea alicholetea akojolee?

Ndhani unaweza elewa kwanini walitakiwa toa tamko, na tamko lao lilikuwa likiombwa liwe la busara.Hujawahi jiuliza kwanini serikali itakuwa na hofu sana kma Ponda akigombea katk chama cha kisiasa na kwa mahati mbaya akajikuta anapata kura za kumpatiaushindi kwa level aliyogombea kuliko hata pengo kugombea urais?

Sasa, UNAPOONGELEA Salman Rushdie Issue; Hapo Una-Intrigue an ISSUE way far from NATIONAL UNITY Hapo Umeenda kwenye Scandals, na sidhani I can say anything on SCANDALS; AS it an Imported Issue....
SIWEZI KUSEMA ni KANISA; MSIKITI au SERIKALI ITAKAYO SULUHISHA Ni Issue Tofauti kimazingira...
 
hekima ni bora kuliko vyote mkuu na hekima ni neno la Mungu ambalo wapumbavu walilichana mbagala wakizani wanampigania mungu wao.but kwa watumishi vita ni vyake Bwana kisasi chake ndo maana wanasema watamwomba Mungu coz pengine yale ni majini yalivaa miili kuleta vurugu damu imwagike yafurah so Mungu ni mzuri sana anakupa akili anakubariki unafanikiwa ndo maana unaona wakristo wengi wamebarikiwa sio wajinga wanaponyamaza na wote waliochoma ma
kanisa fuatilia hatima yao utapa majibu na ndo utajua Mungu wa kweli ni yupi
 
am so proud of myself being born a CHRISTIAN! NITAKUFA MKRISTU!!!
 
Sisi maaskofu na viongozi wa makanisa ya kikristo kutoka CCT, TEC na PCT baada ya kusikia na kuona katika vyombo vya habari juu ya uvamizi wa makanisa tumechukua fursa ya siku hii ya leo ili;-

1)Kujionea wenyewe madhara yaliyotokea
2)Kutoa pole kwa waumini wetu
3)Kushiriki pamoja uchungu wa madhara yaliyotupata
4)Kuwepo kwa pamoja namna ya kukabiliana na uvamizi huo

Baada ya kutembelea maeneo yaliyovamiwa na kujionea uharibifu uliotokea
1)Tumeona uchungu na masikitiko ya kwamba watanzania tumefikia kiwango hicho cha kumtendea jirani yake
2)Tunatambua subira na uvumilivu mkubwa uliooneshwa na wakristo kuepusha majibizano ambayo yangeweza kuleta athari kubwa zaidi.
3)Tumeziona juhudi za jeshi la polisi katika kudhibiti hali ya vurugu na kuepusha kupoteza uhai wa raia.

Katika wakati huu
1) Tunawaalika wakristo wote kutolea sala na maombi kwa Mungu aliye mlinzi wet,usalama na ulinzi wetu uko mikononi mwa Mungu pekee.
2)Tunatambua kuwa usalama wa wafuasi wa Kikristo ni haki ya msingi kama raia wengine wowote, ni mategemeo yetu kwamba wakristo na nyumba zao za ibada vinastahili kuhakikishiwa usalama.

Tunapenda kuwaambia Wakristo wenzetu kwamba kikao chetu cha leo kimetupa fursa ya kujionea wenyewe hali halisi ya uvamizi, kwasasa tunajiandaa kuchukua hatua muafaka. Tutawarudia hivi karibuni mbele ya vyombo husika yale yaliyo maamuzi yetu.
Kwa wakati huu tunawaomba muendelee kuwa wavumilivu na watulivu na muwe macho katika kulinda mali na nyumba zetu za ibada kwa kushirikiana na vyombo vya usalama.

Tunawapa pole wote na kuwatakia Baraka za Mungu.

Tamko limetulia limejaa hekima na busara tele, huo ndiyo uzuri wa taasisi za kidini kuongozwa na viongozi wenye elimu ya dini na elimu dunia ya kutosha na siyo weredi katika ramli tu kupitia maandishi kutoka kulia kwenda kushoto.
 
Very good!!...mimi ninahakika hata huo uislam sivyo ulivyo ni watu flan tu wenye viherehere vya kuchanganya dini na siasa mfano Libya nchi inaanza kuwashinda na huko syria watuambie wanapigania nini mpaka kuua watu wakati kuna dini yao?Waache ulimbukeni duniani tupo safarini mwisho wa siku utatoa hesabu yako si kwa kutetea dini wala Mungu...zibuka masikio ewe mavumbi!!!
 
Back
Top Bottom