Kwa hali hii ss itafika point wakristo watachoshwa na matendo wanayofanyiwa na wenzetu waislam na hapo ndipo nchi itakapoingia kwenye machafuko. Kama ni dharau wenzetu wametudharau vya kutosha kiasi kwamba ss wanatuwekea vidole machone. Mm nashukuru serikali kwa hatua zinazoendelea kuchukuliwa ili kuepusha machafuko yanayoweza kujitokeza. Serikali inabidi ifanye kazi ya ziada kuwachukulia hatua hawa wenzetu kabla wakristo hawajachukua hatua wenyewe.Amen..tupo pamoja.watashindana nasi lakini hawatashinda! chezea mfumo kristo eeeh! usipime makali ya sime!