While we are @ it, lazima sasa techniques za hali ya juu zitumike kuwa isolate viongozi wa juu na mafisadi. Hapa nina maana ASAP Chadema waongeze wafanyakazi wa chini wa serikali kama watu ambao chadema inawatetea ukijumlisha na vijana maskini na wananchi maskini kwa ujumla. Kwa kuanzia Chadema waweke wazi kuwa wanataka watu muhimu kama walimu, madaktari walioajiriwa kwenye hopsitali za serikali, Polisi wa chini, wanajeshi wa chini, manurse na wafanyakazi wengine kwa ujumla waboreshewe mishahara. I believe ili litaiweka serikali kwenye wakati mgumu na hapohapo kwafanya hao polisi ambao hawafikirii kutoka na ufinyu wa elimu kupiga wananchi na viongozi wa chadema wakati hiyo cake inaliwa na hao viongozi wa juu na mafisadi.