Mfwatiliaji
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 1,323
- 67
Muda wa mabadiliko umefika
Mkuu analysis gani tena hapo wakati picha zinajionyesha. Watoto kibao hawapigi kura. Pia vijana kibao ambao kelele nyingi lakini hawapigi kura. Unawaona wazee wangapi kwenye hizo picha? Wazee wengine ndio huwa wanapiga kura, ila wapo wachache sana kwenye picha ambazo nimeziona so far.
Ukifanya analytical analysis inakuwa vigumu sana kuelewa CCM walishinda vipi Urais na idadi kubwa ya wabunge only 4months back??? The only conclusion ni Uchakachuaji wa hali ya juu, na kama uchaguzi huru ukifanyika TZ hata kesho CHadema ni RULING PARTY.
Kila la heri Dada Regia, lakini nadhani sasa uongozi mzima wa chadema ukae chini na wanasheria ili kucover all the bases, ili kila matamshi yawe ndani ya sheria, maana JK na serikali wamepigwa na hofu na kitakachofuata ni mabavu ya dola. Ni muhimu sana kwa sasa hivi kuwaelimisha wananchi matumizi mabaya ya serikali, upotevu wa pesa za umma na mambo mengine bila kusogea hata kidogo kwenye gray area yoyote kisheria, sababu hamna haja MAPENZI YA WANANCHI KWA CHADEMA YANAKUWA NATURALLY sababu ya upuuzi wa serikali.
May God Bless Tanzania.
Jamani mbona hamkufika Ngara au mnafikiri ni sehemu ya Burundi?
maneno hayo tuliyasikia sana mbeya mpaka mpesya akadondoka we cheza na cdm tuu kama unaipenda ccm mwambie mwenyekiti mjipange acha kutoa majibu mepesi kwenye masuala magumu mkuu!mkuu analysis gani tena hapo wakati picha zinajionyesha. Watoto kibao hawapigi kura. Pia vijana kibao ambao kelele nyingi lakini hawapigi kura. Unawaona wazee wangapi kwenye hizo picha? Wazee wengine ndio huwa wanapiga kura, ila wapo wachache sana kwenye picha ambazo nimeziona so far.
mkuu kwa kumwita hivyo mkwele unaweza kunyongwa hahahahaa unamtukana mkuu wa nchi kilaza wetu!jana chiligati alimuita dr slaa savimbi! Si matusi hayo jamani? Sasa hapa nani anatukana?
kama ndiyo hivyo basi kikwette ni gaddafi....hawana haya hao ccm!
kazeni uzi, hvyo vitisho hata kina mubara walivitoa lkn hatimae wakaaanza!
Kikwete kashindwa kuongoza nchi, mfumuko huu wa bei ni wa ajabu! Eti wananchi tukae kimya ndio amani na utulivu! Ilhali tunakufa njaa? Ni bora kufa ukipigania lishe kuliko kufa kwa njaa.....
Ukifanya analytical analysis inakuwa vigumu sana kuelewa CCM walishinda vipi Urais na idadi kubwa ya wabunge only 4months back??? The only conclusion ni Uchakachuaji wa hali ya juu, na kama uchaguzi huru ukifanyika TZ hata kesho CHadema ni RULING PARTY.
Kila la heri Dada Regia, lakini nadhani sasa uongozi mzima wa chadema ukae chini na wanasheria ili kucover all the bases, ili kila matamshi yawe ndani ya sheria, maana JK na serikali wamepigwa na hofu na kitakachofuata ni mabavu ya dola. Ni muhimu sana kwa sasa hivi kuwaelimisha wananchi matumizi mabaya ya serikali, upotevu wa pesa za umma na mambo mengine bila kusogea hata kidogo kwenye gray area yoyote kisheria, sababu hamna haja MAPENZI YA WANANCHI KWA CHADEMA YANAKUWA NATURALLY sababu ya upuuzi wa serikali.
May God Bless Tanzania.
We unaishi dunia gani? 65% ya population ya Tanzania ni vijana na ndiyo wapiga kura wa leo na kesho. Inawezekana hata Oktoba mwaka jana hukupiga kura. Kama ungekuwa umeenda kwenye vituo ungeona kuwa vijana ndiyo walikuwa wengi.Mkuu analysis gani tena hapo wakati picha zinajionyesha. Watoto kibao hawapigi kura. Pia vijana kibao ambao kelele nyingi lakini hawapigi kura. Unawaona wazee wangapi kwenye hizo picha? Wazee wengine ndio huwa wanapiga kura, ila wapo wachache sana kwenye picha ambazo nimeziona so far.
Sote tunawapongeza lakini CHADEMA inapaswa kuacha kupita seheme kama kimbunga. Wanapaswa waache mizizi kwa kufungua matawi wilayani na vijijini na kuweka viongozi imara watakaokijenga chama. Ukweli ni kwamba mapinduzi ya Tanzania hayatakuwa kama ya Libya au Misri. Yatapatikana kwenye sanduku la kura (huru). Hivyo kujenga chama kwenye grassroots ni muhimu sana.Nawapongeza kwa kazi kubwa mnayoifanya!hongereni sana!!