- Thread starter
- #21
Binamu hyo itakua huawei werevambona mie sioni picha ?? ama hii huawei yangu kimeo?
Binamu hyo itakua huawei werevambona mie sioni picha ?? ama hii huawei yangu kimeo?
Usijali binamu nashukuru kukubali usijali tupo pamoja binamuKisa na mkasa? Na umbea nimuachie nani? Ebu binamu niache usinitafutie ban na huku
mwe imefunguka sasa, mbona namwona kapo bomba ama mie mshamba jamani.Binamu hyo itakua huawei wereva
Mwenzangu hii account ya ishirini inapigwa ban, wana jf wanionee huruma Wasinichokoze maana domo langu breki ilifeliUsijali binamu nashukuru kukubali usijali tupo pamoja binamu
Kila ukiongea kitu hakikisha unaweka na neno la mungu ili sentensi ipate baraka zaid binamuMwenzangu hii account ya ishirini inapigwa ban, wana jf wanionee huruma Wasinichokoze maana domo langu breki ilifeli
Kipumi ni nini?mzuri ila ana kipumi kireeefu!
sehemu ya juu ya uso kabla haijakutana na nywele za kichwaniKipumi ni nini?
Oohsehemu ya juu ya uso kabla haijakutana na nywele za kichwani