mgombea urais wa tanzania kwa tiketi ya chadema, edward lowassa akifurahi jambo na watoto wakati alikuwa akitoka kanisani kwenye ibada ya jumapili, musoma.
wewe acha mm siku nilipoongea nae kwenye sim kwa mara ya kwanza ilikuwa 2013 yaani nilifurahi sana anaongea vizuri. Kesho nakamata fursa lazima nimshike mkono. Leo jion ntamtext
Wanamwombea sana mabaya, wamemtangaza mgonjwa, wametamani afe lakini kukicha anazidi kuimarika, wanapodhani atakuwa amelala kitandani Mwenyezi Mungu anamwibua akiwa shupavu, jasiri, mwenye bashasha na tabasamu lenye kuwajenga na kuwapa watu matumaini. Hili linawauma sana sana....... WAMECHELEWA.
Mtasema sana Edo ni mtu wa Mungu huwa anaingia kwenye nyumba za ibada hasa kanisani na hata misikitini,nyinyi wagombea wenu wanaonekana sana kwa SANGOMA na wanganga wa kichwawi
Alienda tena kuomba kura kwa warutheli nini? huyo mzee asituletee udini hapa tanzania ni moja, na watanzania ni wamoja pia. udini, ukabila, ukanda kamwe tusiupe nafasi