Picha: Lowassa akiwa Kigoma

Picha: Lowassa akiwa Kigoma

Abdul Mohammed

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2013
Posts
1,331
Reaction score
860
[h=2]LOWASSA ATUA NGURUKA NA KUMNADI KAFULILA, POLISI YAONYESHA WELEDI KATIKA KAZI[/h]

OTH_6079.jpg

OTH_6085.jpg
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitiaCHADEMA, akiwakiliosha vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi, UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akipokea saluti kutoka kwa Askari Polisi, wakati alipowasili kwa Helkopta, kwenye Uwanja mdogo wa ndege Nguruka Kati, Jimbo la Kigoma Kusini, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni za Mgombea huyo, leo Septemba 4, 2015 ambapo pia alitumia fursa hiyo, kumnadi mgombea wa jimbo hilo kupitia NCCR-Mageuzi, akiwakilisha UKAWA, Mh. David Kafulila

OTH_6104.jpg
Mh. Lowassa, akisalimiaana na mamia ya wakazi wa mji wa Nguruka waliohudhuria mkutano wake wa kampeni
OTH_6367.jpg

OTH_6378.jpg
OTH_6386.jpg
OTH_6431.jpg
Wananchi wakionyesha alama inayotumiwa na UKAWA hivi sa sa ya "Mabadiliko" wakati wa mkutano wa kampeni uliohutubiwa na Mgombea wake Mh. Edward Lowassa, na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe huko Nguruka
OTH_6514.jpg
OTH_6502.jpg
OTH_6597.jpg
Kijana akiwa na bango lenye ujumbe. (Picha zote na Othman Michuzi)
Source: LOWASSA ATUA NGURUKA NA KUMNADI KAFULILA, POLISI YAONYESHA WELEDI KATIKA KAZI ~ K-VIS
 
Huyo askari alijisahau tunamsamehe huwezi kumfanyia mtu kamahuyo heshima kiivyo!! TEAM WAZALENDO
 
Lowasa naahidi kukutafutia kura 100, tayari nshatafuta kura 10 za ccm na kuzileta kwako
 
Wameenda kushangaa chopa. Baada ya aibu aliyopata kule Katavi, hatimaye Lowasa katumia mbinu iliyompa umaarufu Dr Slaa ya kutumia Chopa
 
Wameenda kushangaa chopa. Baada ya aibu aliyopata kule Katavi, hatimaye Lowasa katumia mbinu iliyompa umaarufu Dr Slaa ya kutumia Chopa

Msemaji wa chama cha mashetani katika ubora wake

Hata rais wenu alisema picha zimeunganishwa
 
Serikali sikivu ya Chadema kupitia UKAWA watalinda maslahi ya askari huyo aliyempigia saluti jemedari Lowassa.
 
Hongereni sana wana Kigoma, kila la kheri Kafulila.
Sina mashaka na hilo jimbo sababu ya kazi zako zilizotukuka.
 
Back
Top Bottom