Bukanga
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 2,857
- 1,937
I swear huyu askari aliepiga saluti atawajibishwa
Kile.chama cha kijani ni laana kwa taifa
Wewe muache tu apige kelele huku JF.
October ndio atatafuta pa kuificha id yake.
I swear huyu askari aliepiga saluti atawajibishwa
Kile.chama cha kijani ni laana kwa taifa
Huyo askari alijisahau tunamsamehe huwezi kumfanyia mtu kamahuyo heshima kiivyo!! TEAM WAZALENDO
Halafu EL bado ni Waziri Mkuu mtaafu na anahitaji heshima zote. I like you Lowassa. Ungekuwa mwanamke ningesema I love Ms. President.2tampatia u RPC wa kigoma bt ukienda k protcl askari huyu yupo sawa kumpgia salute EL mbona kova alimpigia salute mwili wa marehemu kanumba? sasa kanumba na EL nani anafaa kupgiwa salute
I swear huyu askari aliepiga saluti atawajibishwa
Kile.chama cha kijani ni laana kwa taifa
Acha pumba we mbibiKumne kura zenu ni za kutafuta? Sisi CCM tunazichota tu
I swear huyu askari aliepiga saluti atawajibishwa
Kile.chama cha kijani ni laana kwa taifa
Mkuu hamasisha kadri unavyoweza. eilimisha vijana kwa wazeee, wababa kwa wamama please. Ukiweza kuongea na ndugu zako kwa kuanzia na marafiki utatengeneza kura nyingi tu.Ukwel haufichiki bwana lowasa kaleta upinzani mkubwa sana na pengine anaweza kushinda hatuwez kujua maana kura yangu n moja na yako moja
Huyo askari alijisahau tunamsamehe huwezi kumfanyia mtu kamahuyo heshima kiivyo!! TEAM WAZALENDO
I swear huyu askari aliepiga saluti atawajibishwa
Kile.chama cha kijani ni laana kwa taifa
Wameenda kushangaa chopa. Baada ya aibu aliyopata kule Katavi, hatimaye Lowasa katumia mbinu iliyompa umaarufu Dr Slaa ya kutumia Chopa
Wachaga wengi mnakuwa na imani na kitu kisichowezekana. Hata Dr Slaa mlisema vivyo hivyo
Uyu jamaa anachukua