yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,905
Wameenda kushangaa chopa. Baada ya aibu aliyopata kule Katavi, hatimaye Lowasa katumia mbinu iliyompa umaarufu Dr Slaa ya kutumia Chopa
Hata mkimrubuni Lowassa mabadiliko yako pale pale
Wameenda kushangaa chopa. Baada ya aibu aliyopata kule Katavi, hatimaye Lowasa katumia mbinu iliyompa umaarufu Dr Slaa ya kutumia Chopa
Ni wewe Thadei bingwa wa kuandika utumbo fb au mwingine?
I swear huyu askari aliepiga saluti atawajibishwa
Kile.chama cha kijani ni laana kwa taifa
Huyo askari alijisahau tunamsamehe huwezi kumfanyia mtu kamahuyo heshima kiivyo!! TEAM WAZALENDO
Wachaga wengi mnakuwa na imani na kitu kisichowezekana. Hata Dr Slaa mlisema vivyo hivyo
Wameenda kushangaa chopa. Baada ya aibu aliyopata kule Katavi, hatimaye Lowasa katumia mbinu iliyompa umaarufu Dr Slaa ya kutumia Chopa
Huyo askari alijisahau tunamsamehe huwezi kumfanyia mtu kamahuyo heshima kiivyo!! TEAM WAZALENDO
i concur mkuuuuu....iio nyomi yoote ilienda kushaangaaa chopa ioo
I swear huyu askari aliepiga saluti atawajibishwa
Kile.chama cha kijani ni laana kwa taifa
I swear huyu askari aliepiga saluti atawajibishwa
Kile.chama cha kijani ni laana kwa taifa
Hata mkimrubuni Lowassa mabadiliko yako pale pale