Picha: Lowassa akiwa Kigoma

Picha: Lowassa akiwa Kigoma

Huyo askari alijisahau tunamsamehe huwezi kumfanyia mtu kamahuyo heshima kiivyo!! TEAM WAZALENDO

wewe usiyejua ndo unasema kajisahau kumbuka EDWARD LOWASA alishawahi kuwa waziri mkuu wa nchi hii na kwa mjibu wa Katiba yetu waziri mkuu bado anaendelea kuwa na beji na cheo chake cha uwaziri mkuu hata akitoka madarakani ndio maana hadi leo bado analindwa na usalama wa serikali na bado analipwa stahili zake zote kama waziri mkuu mstaafu hivyo huyo askari aliyempigia saruti hajafanya hivyo kwa bahati mbaya EL bado ana jina la uwaziri mkuu
 
Wameenda kushangaa chopa. Baada ya aibu aliyopata kule Katavi, hatimaye Lowasa katumia mbinu iliyompa umaarufu Dr Slaa ya kutumia Chopa

Katavi
katavi.jpg

Source: LOWASSA ATUA MPANDA KWA CHOPA, APATA MAPOKEZI MAKUBWA | MTAA KWA MTAA BLOG
 
Huyo askari alijisahau tunamsamehe huwezi kumfanyia mtu kamahuyo heshima kiivyo!! TEAM WAZALENDO

We kweli kilaza hebu niambie lowasa alikuwa ni nani jeshini na alikuwa na cheo gani..?? Hapo ndo utapata jibu kuhusu hiyo salute na si kukurupuka ...vijana wa lumumba kama viongozi wenu mnakurupuka bila kutafakari pumbavuu
 
Wachaga wengi mnakuwa na imani na kitu kisichowezekana. Hata Dr Slaa mlisema vivyo hivyo

Naona umelegea, unaanza kuzungumzia makabila ya watu.mwaka huu wakabila Kama wewe hamna nafasi.aibu!
 
Wameenda kushangaa chopa. Baada ya aibu aliyopata kule Katavi, hatimaye Lowasa katumia mbinu iliyompa umaarufu Dr Slaa ya kutumia Chopa

Chopaaaa iko mbele ya jukwaaa?? Kweliii kaka ur political dead kabisa a gentleman like unaongea such a thing hiyo nayo ni hoja duuuh waleeleee kweli Lowassa kibokooo
 
Lowasa hakuwahi KUA NA cheo jeshini NA si waziri mkuu mstaafu bali ni wazirimkuu aliyejizulu.
 
I swear huyu askari aliepiga saluti atawajibishwa

Kile.chama cha kijani ni laana kwa taifa

Atawajibishwa kwa lipi?ulitaka asipige saluti wakati mkubwa wake anapita?kumbuka EL ni waziri Mkuu mstaafu! Huyo katimiza wajibu wake kikazi na mujibu wa mafunzo yake!
 
Nashangaa mods kuendelea kuzibania picha za mgombea wa UKAWA, hata hivyo tupo tu tutazikuza wenyewe. Kigoma hiyooo!


Kigoma7.jpg

Kigoma2.jpg

Kigoma3.jpg

Kigoma4.jpg

Kigoma8.jpg

Kigoma1.jpg

Kigoma5.jpg

Kigoma6.jpg
 
kuiba kura ndio mbinu pekee ya ccm iliyosalia
 
Nimeona kuna kasi ndogo sana ya LOWASSA kushambulia JIMBO LA KIGOMA MJINI. Hata kwenye ratiba yake sikuiona Kigoma Mjini!

Angalieni huyu Mtu asije sababisha Msaliti ZITTO KABWE akarudi tena mjengoni.
Hili Jimbo lishambuliwe ipasavyo! Zitto tuishie kumuona na nyavu za Migibuka tu Ziwa Tanganyika.

@J. Mnyika, T. Lissu, Yeriko Nyerere, Tumaini Makene, Molemo, meandU
 
Last edited by a moderator:
Wameenda kushangaa chopa. Baada ya aibu aliyopata kule Katavi, hatimaye Lowasa katumia mbinu iliyompa umaarufu Dr Slaa ya kutumia Chopa

Slaa hakuanza kutumia chopa!wakwanza ni kamanda mbowe
We ni mdogo kwenye siasa,lafa
 
Nachukia na nasikitika.baadhi ya watu humu wanaongea na kubisha bila data ni aibu kubwa sana.
 
Dr mihogo ccm wamekununua whole sale..sisi mwendo mdundo
 
Kafulila=sisimizi sasa ni vicecersa chungeni sana kauli zenu mtaumbuka.km alivyoumbuka babu mzee wa chipsi dume
 
Picha sio halis, ndo maana hawajaacha space ukwel.n kwamba jmaaa kifichwa sana na wamemzomea kafulilaa basda ya kumsema Zitto
 
Back
Top Bottom