sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,134
- 4,252
Mtalia sana...
Kumekucha sinema ya DAMIAN O MEN 3 yatua Bongo rasmi.Kwa mwendo huu sijui Tanzania italewekaje kwa nchi za Magharibi?Sahau kukopeshwa na taasisi za magharibi,wataogopa hiyo tekinologia mpya rasmi ya TZ kutoa pesa zao.Labda kutoa misaada kama ya Haiti.