PICHA: Kikwete huyoo anasaini mikataba mipya na waarabu Oman

9uje2e7a.jpg

6yja8a6e.jpg
a7yvujaz.jpg
e6ubevu5.jpg
3ure8ara.jpg

Alipo sani mikataba na mzungu Bush hukuona tatizo. Mawazo kama hayo ndio yanayo ingamiza TZ. Yani unazani hii nchi ni Mali ya Vatican sio ? Mtaingamiza nchi kwa udini.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Nadhani siku ukipigwa mnada huku unaona ndio utaamini kwamba huna chako,angalia picha vizuri akisaini mkataba na bush na akisaini mkataba na waarabu utaona kabisa kwamba huko oman kuna issue batili inaendelea
 
nadhani umekurupuka nimeuliza kama wanasoma kilichomo ndani kabla hawajasign?
kuambiwa ni ushirikiano wa kiuchumi pekee haitoshi
we have to know the contents therein.
mikataba kama hii inapaswa kusomwa kwa umakini kabla ya kuiridhia
nadhani ww ndio umekenua meno kumwona JK anasign bila kujua mikataba bomu ndio imetufikisha tulipo
Hiyo ya bush na wamarekani kuliwa ndio kwanza naisikia kwako ila ni kinyume chake sisi ndrio tumedanganyiwa vyandarua wao wamekuja na symbion na makampuni mengine kuchota wanachoweza kwa ruhusa ya mkulu.
Umejaribu japo kutaka kujua kilichopo ndani ya hiyo mikataba au unalialia tu?

Mbona Bush alikuja kusaini mikataba hapo Ikulu Magogoni? na wamarekani waliliwa?
 
ni jambo la kawaida sana. Tusiwe wanafiki hakuna mazungumzo ya kiserikali yasiokuwa na mikataba mwisho Kikwete si wa kwanza kufanya hivyo.

Nogwa ni kufanyika oman.
 
Duh, bado tuna kazi ngumu sana. Huu mfumo una mizizi mingi itabidi tujipange kweli kweli
 
Tusijenge hofu sana maana hofu umuuwa mtu mjinga,cha msingi akirudi tu ebu tumuulize alikuwa anasaini vitu gani? na kwa manufaa yapi? Ila tukijenga hofu,woga na wivu hamna kitu hapa sanasana ni kujifariji tu na vigari vyetu,wake zetu,vijumba vyetu uchwala na pombe.Cha msingi msubilini akirudi mkamulize tena bila woga pale magogoni,kama haitoshi basi mwende huko Oman mkawaulize hao jamaa.
 
Ama kweli madaraka yanalevya mikataba isiyo na tija kwa watanzania nailinganisha na carlpeters na chifu mangungo wa msovero
 
Mkuu hapa ni hapa tanzania kwenye Mbuga zetu za wanyama ... ambapo wamenunua ardhi kabisa ... wanauwa wanyama kadri watakavyo!.

Unauliza source ... angalia basi namba za gari za Tanzania

Watu wanatembea na Silaha nchini kwenu hovyo hovyo .. nje nje!

fazza3tanzanya36.jpg

Sheikh Hamdan bin Mohammed bin Rashid al Maktoum (Arabic حمدان بن محمد بن راشد آل مكتوم) also known as "Fazza," the name under which he publishes his poetry, (born 13 November 1982), is the Crown Prince of Dubai, and second eldest son of HH Emir Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum and Sheikha Hind bint Maktoum bin Juma Al Maktoum.

459px-H.H._Sheikh_Hamdan_Bin_Mohammed_Bin_Rashid_Al_Maktoum_in_Summit_on_the_Global_Agenda.jpg

Crown Prince of Dubai

fazza3tanzanya72.jpg


4074209273_7aa0aaa583.jpg
4074209551_e7726f8869.jpg


4074208065_4b78e752e7.jpg


fazza3tanzanya327.jpg


4074210217_12de5da110.jpg


fazza3tanzanya22.jpg


fazza3tanzanya21.jpg


fazza3tanzanya145.jpg

ninaona ninachokiona au macho yangu yana ajenda ya siri?
 
Huu mkataba ni wa kkuhusiana na vitu gani tena ?


Hamna transparency wala kitu inaitwa good governance. Tungekuwa tunatangaziwa kabla hajaondoka hapo ndo ungepata jibu. Sasa serikari imehodhi madaraka na maamuzi yote, na maoni ya kurekebisha katiba hamtaki kutoa mnawaachia watu wa vijiweni
 
hii mikataba ya kimangungo wanayosaini itatumalizia nchi yetu, maana kama ni mikataba ya kinyonyaji imejaa kila sekta kuanzia kwenye umeme ( richmond, iptl), madini (buzwagi, north mara) na hata wanyama pori (loliondo)! kama alivyosema Lucas Selelii "walaaniwe"
 
Back
Top Bottom