Tanesco waliingia mikataba mingapi na Waarabu? Makamba na Maharage jitokezeni mtueleze

uwe hodari

JF-Expert Member
Dec 16, 2022
3,999
8,390
Tunaambiwa wizara ya nishati iliingia mikataba mingi na waarabu

Ajabu hiyo mikataba inafichwa fichwa kwann waifiche kama wana nia njema?

Walioingia mikataba ni January makamba na Maharage wote wamehamishwa

Ila mikataba waliyoingia ina umilele na haijawekwa bayana inahusu nini?

Wajuvi walienda mbali kuwa waarabu wamelipa pesa kununua miradi ya nishati inayoendelea nchini ili ikikamilika wamiliki wao.

Hii ina maana Watanganyika tutakuwa tunananunua umeme unaomilikiwa na Waarabu.

Na watakuwa na options ya kuuza umeme wetu nje ya nchi especially (connect dot mtoto wa kiongozi abdul na rostam) ndio washika dau wakubwa katika hizi dili.

Pia kuna kampuni binfs inaiuzia umeme Tanesco haijulikani inamilikiwa na nani.

Na tuhuma nyingine nyingi. Yote haya yamewezeshwa na maharage na makamba.

Tungeomba Rais hawa watu watoe majibu kwa umma dhidi harufu ya ufisadi huu utakaoenda kuangamiza Tanesco
 
Kwa Rais gani tuliyenaye?

Angekuwa msafi makamba na huyo bwana beans wangekuwa benchi, au hujui kuwa SHH ni king'amuzi tena cha zuku, na remote ipo msoga?
 
Tunaambiwa wizara ya nishati iliingia mikataba mingi na waarabu

Ajabu hiyo mikataba inafichwa fichwa kwann waifiche kama wana nia njema?

Walioingia mikataba ni January makamba na Maharage wote wamehamishwa

Ila mikataba waliyoingia ina umilele na haijawekwa bayana inahusu nini?

Wajuvi walienda mbali kuwa waarabu wamelipa pesa kununua miradi ya nishati inayoendelea nchini ili ikikamilika wamiliki wao.

Hii ina maana Watanganyika tutakuwa tunananunua umeme unaomilikiwa na Waarabu.

Na watakuwa na options ya kuuza umeme wetu nje ya nchi especially (connect dot mtoto wa kiongozi abdul na rostam) ndio washika dau wakubwa katika hizi dili.

Pia kuna kampuni binfs inaiuzia umeme Tanesco haijulikani inamilikiwa na nani.

Na tuhuma nyingine nyingi. Yote haya yamewezeshwa na maharage na makamba.

Tungeomba Rais hawa watu watoe majibu kwa umma dhidi harufu ya ufisadi huu utakaoenda kuangamiza Tanesco
Ikibainika wanahusika kwa namna yeyote ile kwenye mgao huu wa umeme bas lazima wawajibike na kuwajibishwa kwa mujibu wa Sheria za nchi
 
Makamba na Maharage walikuwa hapo kwa kazi maalum na imeshakamilika.
Watanzania tutafika nchi ya ahadi tukiwa tumechoka mnoooo..
 
Makamba hakudeal na waarabu bali mikataba yote alipiga na wahindi!
"Mahindra"
 
Tunaambiwa wizara ya nishati iliingia mikataba mingi na waarabu

Ajabu hiyo mikataba inafichwa fichwa kwann waifiche kama wana nia njema?

Walioingia mikataba ni January makamba na Maharage wote wamehamishwa

Ila mikataba waliyoingia ina umilele na haijawekwa bayana inahusu nini?

Wajuvi walienda mbali kuwa waarabu wamelipa pesa kununua miradi ya nishati inayoendelea nchini ili ikikamilika wamiliki wao.

Hii ina maana Watanganyika tutakuwa tunananunua umeme unaomilikiwa na Waarabu.

Na watakuwa na options ya kuuza umeme wetu nje ya nchi especially (connect dot mtoto wa kiongozi abdul na rostam) ndio washika dau wakubwa katika hizi dili.

Pia kuna kampuni binfs inaiuzia umeme Tanesco haijulikani inamilikiwa na nani.

Na tuhuma nyingine nyingi. Yote haya yamewezeshwa na maharage na makamba.

Tungeomba Rais hawa watu watoe majibu kwa umma dhidi harufu ya ufisadi huu utakaoenda kuangamiza Tanesco
Weka hapa ushahidi wa hiyo mikatabq ya waarabu, kinyume cha hapo hizo ni soga za kijiwe cha kahawa
 
Tunaambiwa wizara ya nishati iliingia mikataba mingi na waarabu

Ajabu hiyo mikataba inafichwa fichwa kwann waifiche kama wana nia njema?

Walioingia mikataba ni January makamba na Maharage wote wamehamishwa

Ila mikataba waliyoingia ina umilele na haijawekwa bayana inahusu nini?

Wajuvi walienda mbali kuwa waarabu wamelipa pesa kununua miradi ya nishati inayoendelea nchini ili ikikamilika wamiliki wao.

Hii ina maana Watanganyika tutakuwa tunananunua umeme unaomilikiwa na Waarabu.

Na watakuwa na options ya kuuza umeme wetu nje ya nchi especially (connect dot mtoto wa kiongozi abdul na rostam) ndio washika dau wakubwa katika hizi dili.

Pia kuna kampuni binfs inaiuzia umeme Tanesco haijulikani inamilikiwa na nani.

Na tuhuma nyingine nyingi. Yote haya yamewezeshwa na maharage na makamba.

Tungeomba Rais hawa watu watoe majibu kwa umma dhidi harufu ya ufisadi huu utakaoenda kuangamiza Tanesco
Umemtaja Abdul halafu unataka Rais atoe majibu? Hivi kwanini Watanzania tunajizima data?
 
Tunaambiwa wizara ya nishati iliingia mikataba mingi na waarabu

Ajabu hiyo mikataba inafichwa fichwa kwann waifiche kama wana nia njema?

Walioingia mikataba ni January makamba na Maharage wote wamehamishwa

Ila mikataba waliyoingia ina umilele na haijawekwa bayana inahusu nini?

Wajuvi walienda mbali kuwa waarabu wamelipa pesa kununua miradi ya nishati inayoendelea nchini ili ikikamilika wamiliki wao.

Hii ina maana Watanganyika tutakuwa tunananunua umeme unaomilikiwa na Waarabu.

Na watakuwa na options ya kuuza umeme wetu nje ya nchi especially (connect dot mtoto wa kiongozi abdul na rostam) ndio washika dau wakubwa katika hizi dili.

Pia kuna kampuni binfs inaiuzia umeme Tanesco haijulikani inamilikiwa na nani.

Na tuhuma nyingine nyingi. Yote haya yamewezeshwa na maharage na makamba.

Tungeomba Rais hawa watu watoe majibu kwa umma dhidi harufu ya ufisadi huu utakaoenda kuangamiza Tanesco
Tatizo mnakazana kutunga maneno na hadithi wakati wenzenu wanapiga kazi na pesa wanayo. Wivu haukusaidii kitu. Huongezi pesa kwenye maisha yako kwa kupoteza muda kuwatungia majungu waliokuzidi. Aliyepewa kapewa. Fanya kazi, kijana. Don't waste your time. Ukizeeka ukiwa maskini utatisha sana
 
Back
Top Bottom