Picha: Kanisa na Bar vyafunguliwa sehemu moja Dar

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,748
22,484
Je umeipata hii?
kama uliwahi kusikia ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpe Mungu, hapa inathibitisha; katika hali isiyo ya kawaida, kanisa na Bar ya pombe Vimefunguliwa sehemu moja milango miwili tofauti (kushoto mlango wa kanisa,kulia mlango wa kuingia baa)
IMG_20160507_162928.jpg
huko maeneo ya kigamboni kwa chagani jijini Dar es salam; vya shindana idadi ya waumini,kimbembe ni wakati kanisa linapomba neema ya Mungu huku walevi nao wakiomba waiter lete BIAAAA, ni sheeeeeeedaaah
 
Je umeipata hii?
kama uliwahi kusikia ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpe Mungu, hapa inathibitisha; katika hali isiyo ya kawaida, kanisa na Bar ya pombe Vimefunguliwa sehemu moja milango miwili tofauti (kushoto mlango wa kanisa,kulia mlango wa kuingia baa) View attachment 345556 huko maeneo ya kigamboni kwa chagani jijini Dar es salam; vya shindana idadi ya waumini,kimbembe ni wakati kanisa linapomba neema ya Mungu huku walevi nao wakiomba waiter lete BIAAAA, ni sheeeeeeedaaah
Hiyo bar haitadumu kamwe
 
Hiyo bar haitadumu kamwe
Si kweli mkuu, nenda uwanja fisi pale Kuna kanisa, sijui yule kwenye nyumba ameokoka, ndipo akabadilisha Ile sehemu iliyokuwa Kama bar kuwa kanisa. kanisa hili limezingukwa na vijumba vya Dada poa, vilabu vya pombe za kienyeji, wavuta bangi hadharani, wote wanapiga mzigo hakuna anaetetereka. Labda wanagombea jina wakati wenyeji wanapaita uwanja wa fisi, kanisa wanapaita uwanja wa sifa.
 
Je umeipata hii?
kama uliwahi kusikia ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpe Mungu, hapa inathibitisha; katika hali isiyo ya kawaida, kanisa na Bar ya pombe Vimefunguliwa sehemu moja milango miwili tofauti (kushoto mlango wa kanisa,kulia mlango wa kuingia baa) View attachment 345556 huko maeneo ya kigamboni kwa chagani jijini Dar es salam; vya shindana idadi ya waumini,kimbembe ni wakati kanisa linapomba neema ya Mungu huku walevi nao wakiomba waiter lete BIAAAA, ni sheeeeeeedaaah
Makanisa ya kipuuzi yanayoota kama uyoga siku hizi wala usiyajali
 
Je umeipata hii?
kama uliwahi kusikia ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpe Mungu, hapa inathibitisha; katika hali isiyo ya kawaida, kanisa na Bar ya pombe Vimefunguliwa sehemu moja milango miwili tofauti (kushoto mlango wa kanisa,kulia mlango wa kuingia baa) View attachment 345556 huko maeneo ya kigamboni kwa chagani jijini Dar es salam; vya shindana idadi ya waumini,kimbembe ni wakati kanisa linapomba neema ya Mungu huku walevi nao wakiomba waiter lete BIAAAA, ni sheeeeeeedaaah
Jamani, nilie au ndo kiama kimefika
 
Hiyo bar haitadumu kamwe

Ni utanda wazi ndugu, huko ulaya makanisa mengine ni night clubs. Watu wanamaliza disco saa kuminambili asubuhi, ukumbi unasafishwa na saa nne asubuhi ibada inaanza. Ile dhamira iliyokupeleka pale ndiyo muhimu. Hapo ni kuwa tu sauti ya mziki itaingiliana na kwaya.
 
Je umeipata hii?
kama uliwahi kusikia ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpe Mungu, hapa inathibitisha; katika hali isiyo ya kawaida, kanisa na Bar ya pombe Vimefunguliwa sehemu moja milango miwili tofauti (kushoto mlango wa kanisa,kulia mlango wa kuingia baa) View attachment 345556 huko maeneo ya kigamboni kwa chagani jijini Dar es salam; vya shindana idadi ya waumini,kimbembe ni wakati kanisa linapomba neema ya Mungu huku walevi nao wakiomba waiter lete BIAAAA, ni sheeeeeeedaaah
Usikute MMILIKI ni mmoja.
 
Fursa hiyo, huku jamaa anaingiza sadaka za waumini huku biashara zake za bar zinaendelea kama noma atakutana nazo mbele kwa mbele.
 
Back
Top Bottom