Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Haya ni baadhi ya matukio ya mikutano iliyofanywa hivi karibuni wilayani Tarime na mwenyekiti wa BAVICHA Taifa, Kamanda John Heche.
Wananchi wengi walijitokeza kuchukua kadi za Chadema, pia viongozi kadhaa wa serikali za vijiji (wa ccm) pamoja na viongozi mbalimbali wa ccm walijitokeza, wakavua magamba na kuvaa magwanda.
Wananchi wengi walijitokeza kuchukua kadi za Chadema, pia viongozi kadhaa wa serikali za vijiji (wa ccm) pamoja na viongozi mbalimbali wa ccm walijitokeza, wakavua magamba na kuvaa magwanda.
Attachments
-
DSC06567.JPG42.8 KB · Views: 286
-
DSC06568.JPG44.4 KB · Views: 339
-
DSC06572.JPG55.2 KB · Views: 205
-
DSC06574.JPG55.1 KB · Views: 183
-
DSC06575.JPG62.4 KB · Views: 177
-
DSC06588.JPG33 KB · Views: 170
-
DSC06596.JPG39.1 KB · Views: 175
-
DSC06607.JPG42.7 KB · Views: 146
-
DSC06620.JPG40.6 KB · Views: 166
-
DSC06621.JPG41.1 KB · Views: 164