cool ilisha uzwa, kuna moja ya ghorofa hivi.Hivi cool breez bado ipo? Wapi Shakira?
Asante kwa taarifa mkuu.cool ilisha uzwa, kuna moja ya ghorofa hivi.
Shakira Sina wazo
Ila mzunguko wa bvinywaji na chakula upo!Asante kwa taarifa mkuu.
Mkuu nitakutafuta PMIla mzunguko wa bvinywaji na chakula upo!
sawa mkuu, ila sipo kule kwa Sasa.Mkuu nitakutafuta PM
Je Unaikumbuka Jamboforum?
Leo Kwenye Kufukunyua Makabuli kwenye Picha Zangu Nimekumbana na Picha Ya Mojawapo Ya Kurasa za JamboForum enzi Hizo Ambayo Kwa sasa ni Jamiiforum..
Ama Kweli Tumetoka Mbali, asante sana Maxence Melo kwa kutufikisha kwenye Maudhui Bora na Hakika Tumetoka Mbali sana..
View attachment 3204571
Inanikumbusha enzi zile watu wakiinamia vitabu kusaka maarifa kiasi cha kuwehuka....Dah Hii Kichwa Hatari Sana 🫡🫡🫡
Ukisoma sana dini unaishia huku?Dah Hii Kichwa Hatari Sana 🫡🫡🫡
The utamuHalafu kulikuwa na DarHotwire