Picha ipi nim kaburi la kanumba?

Picha ipi nim kaburi la kanumba?

Bora mseme nyie viazi nikionge mie muhongo ntaambiwa katikati nina mzizi.
Yaani ilinikera sana watu hawajui kabsa maana ya maiti and they dont think critically kweli haikuwa powa kupublicyz image ya maiti kiasi kile yaani inaniuma mpaka sasa though im not fan wa kanumba.
Sikupenda watz tuna ulimbukeni sana juu ya matumizi haya ya blogs and ol these uchafu wa mitandao ya kijamii. Hawajiulizi kwanini hospitali mgonkwa akikata roho huwa anafunikwa?why wao wamemuacha wazi kiasi kila anaejisikia anapiga picha au walidhani wapo location wana act? Mh tunaelekea wapi watz.....
Kwani kunatofauti gani na kuweka maiti hadharani na kuifanya kioja !? Wenyewe wenyewe mnadai kutoa heshima ! Wale wanaokataa maiti kufanywa kioja ndio huonekana hawana maana. Mezeni tu hata kama ni chungu
 
hiyo ya kwanza nahisi walikua wanapima kama sanduku litaenea kabla ya kuweka tiles.na hiyo ya pili baada ya kuwa tayari.
 
  • Thanks
Reactions: tz1
ni wazi kwamba jeneza litakuwa limeshushwa kwa rollers na sio mannually kwa kamba na nguvu za watu.

So, picha ya pili.....hiyo ya dina kaitoka wapi yarabi toba!!
Yeye si ndio kinara wa kusema kwa nini watu wanatumia picha vibaya??....yeye hiyo kaitoa wapi na kuamua kwamba ni picha husika?

usishtuke beste! kwani dina marios si ndio yule wa ile radio yenye wahitimu wa veta majority! ye na diva na wengine wengi akili zao huwa ni sawa tu! ameamua tu! no proffesionalism!
 
Picha ya pili ndiyo yenyewe hiyo ya kwanza haisiani kabisa na msiba wa Kanumba ni fake. hata hivyo sina shaka kwa kuwa tumezoea kuchakachua, hata kwenye gazeti la Dimba la leo imetolewa hiyo ya juu, nilijiuliza hawa jamaa wako serious.
 
Ya dina marios
avatar69404_1.gif
Nilitegemea jibu litatoka kwa akina dada. Tukina dada twingi tulihudhuria mazishi, tunazimia na kuzinduka hadi makaburini. Poleni wenye muda mchafu!
 
hyo dina cjui katolea wapi hata hiyo picha coz tumeona vzur kabisa kuwa kaburi la kanumba lilikuwa na marumaru(tiles) sasa hii inanshangaza kwa kweli, kha, ndio wanahabar hao, shame on you mdada,
 
Yanguu magichooo nipo huku mbaaali,mi sijui bana naomba msaada please kujua alipolala ze Great SK..!
 
hiyo ya kwanza nahisi walikua wanapima kama sanduku litaenea kabla ya kuweka tiles.na hiyo ya pili baada ya kuwa tayari.
Duuuh,Kumbe unauzeefu.
 
Back
Top Bottom