Picha ipi nim kaburi la kanumba?

Picha ipi nim kaburi la kanumba?

hyo dina cjui katolea wapi hata hiyo picha coz tumeona vzur kabisa kuwa kaburi la kanumba lilikuwa na marumaru(tiles) sasa hii inanshangaza kwa kweli, kha, ndio wanahabar hao, shame on you mdada,
Dina kastuka kaichomoa picha ya kaburi kwenye blog yake.
 
ni wazi kwamba jeneza litakuwa limeshushwa kwa rollers na sio mannually kwa kamba na nguvu za watu.

So, picha ya pili.....hiyo ya dina kaitoka wapi yarabi toba!!
Yeye si ndio kinara wa kusema kwa nini watu wanatumia picha vibaya??....yeye hiyo kaitoa wapi na kuamua kwamba ni picha husika?

Jamani mimi simlaumu Dina, hyo picha ilianzia humu mitatandaoni na sikumbuki ni mtandao upi hasa.

Hata baadhi ya magazeti yaliitoa.

I was also confused
 
Back
Top Bottom