Ni mbulula na sio Mburula, Arusha big up sana, wameshaona mbali wamechoka kudanganyika, viva Chadema Viva, kwa nguvu ya wananchi tutaweza!!!!!mbona arusha peke yake ndiko kuna mamburula wengi huko :focus:
Nini arusha we gamba hata mtwara kwenye misukule yenu imeamka na chadema ndio wimbo sasa,kawaulize jangili kinana na yule pine imekuwaje wamefurukuta....mnalo limewaganda magamba..mbona arusha peke yake ndiko kuna mamburula wengi huko :focus:
Ni mbulula na sio Mburula, Arusha big up sana, wameshaona mbali wamechoka kudanganyika, viva Chadema Viva, kwa nguvu ya wananchi tutaweza!!!!!
Sio Arusha tu mkuu Nyumbani tanga zipo kibao
1. Jana MKWEZI ( mtu anaepanda minazi kuangusha nazi) nilimuona nayo akiangushia nazi
2. Hivi natoka bandarini kununua kitoweyo KULI (mtu anebeba mizigo bandarini ) nilimuona nayo akijifutia jasho baada ya kibarua fulani kumalizika.
Nini arusha we gamba hata mtwara kwenye misukule yenu imeamka na chadema ndio wimbo sasa,kawaulize jangili kinana na yule pine imekuwaje wamefurukuta....mnalo limewaganda magamba..
Nyang'au wewe tena wewe ndio msukule namba moja wa magamba,ntwara wameamka imekula kwenu kwenu sasa mnabaki kupiga watu wasiokuwa na hatia,ni kitambo kidogo tu huu uvumilivu utakwisha!!!Kwanza lazima ujue kuheshimu watu, huwezi kuita watu wa mtwara misukule..misukule ni mtu kama wewe ambae fikra yako imepumbazwa na ulevi wa kuropoka!
Na aliekudanganya CHADEMA ndio wimbo wa mtwara nani??
Never ever underestimate mind capability ya watu wa kusini!
katika harakati za kuangushwa aliyekuwa rais wa Uganda Dikteta Iddi Amin Dada akina Obote walitengeneza T-Shirts zao zenye alama ya kiganja zikiandikwa U.P.C (Uganda Peoples Congress) mgongoni na picha ya Obote kifuani. Nasikia kuwa wale askari walipokuwa wakikupata walikuwa wanakuamrisha unasimama na wanalenga risasi kwenye picha ya T-Shirts!!!Huku ukivaa uvae na rain koti juu vinginevyo kucha macho halali yao