Nadhani Ni Paraguay au Uruguay ILA Ninachotambua Ni Rais Asiyependa Utajiri Wala Ufahari Na Anaishi Maisha Ya Kawaida Na Ya Chini Sana. Nadhani Ni Hizo Nchi Mbili Tajwa Hapo au Nchi Za Far East. Naikumbuka Sana Hiyo Sura Kuwahi Kuiona Ktk Media.
mkuu huyu ni wa Uruguay...je president wetu aliwahi kwenda huko?Nadhani Ni Paraguay au Uruguay ILA Ninachotambua Ni Rais Asiyependa Utajiri Wala Ufahari Na Anaishi Maisha Ya Kawaida Na Ya Chini Sana. Nadhani Ni Hizo Nchi Mbili Tajwa Hapo au Nchi Za Far East. Naikumbuka Sana Hiyo Sura Kuwahi Kuiona Ktk Media.
Hizo nchi haziko Far East, ziko Latin America.
amekuelewa mkuu....kuwa kama siyo hizo nchi mbili basi itakuwa Far East!Uwe Unasoma Vizuri Uzi Wangu Na Kuelewa Kwani Sitaki Nikudharau Na Wewe Halafu Uanze Kuchukia. Nimesema Vizuri Tu Kuwa Anatoka Ktk Hizo Nchi Mbili Tajwa Hapo au Narudia Tena au Nchi Za Far East. Sasa Ni Wapi Nimesema Uruguay Na Paraguay Zipo Far East? au Unataka Tu Kuchukua Points ( Kupata KIKI ) Kwangu?
Haya sasa mada inahama taratiiibuUwe Unasoma Vizuri Uzi Wangu Na Kuelewa Kwani Sitaki Nikudharau Na Wewe Halafu Uanze Kuchukia. Nimesema Vizuri Tu Kuwa Anatoka Ktk Hizo Nchi Mbili Tajwa Hapo au Narudia Tena au Nchi Za Far East. Sasa Ni Wapi Nimesema Uruguay Na Paraguay Zipo Far East? au Unataka Tu Kuchukua Points ( Kupata KIKI ) Kwangu?
huyu nimeambiwa ni rais...je president wetu aliwahi kumtembelea huyu?na je aliwahi kututembelea Tanzania