Picha: Hivi ndivyo Lucy Kibaki alivyopewa buriani, JK na Mwinyi wawakilisha Tanzania

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,726
32,818
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
image.jpeg
Leo Mke wa Rais Mstaafu wa Kenya Bibi Lucy Kibaki atalazwa katika nyumba yake ya milele,Tanzania ya Magufuli imewakilishwa na Rais mstaafu JM Kikwete
Rais Mstaafu wa awamu ya Pili Alhaj Alli Hassan Mwinyi naye amewawakilisha Watanzania kwa kuweka tanzia yake katika kitabu cha maombolezo
Apumzike kwa Amani Mwendazake Lucy Kibaki
 
JK shughuli kama hizi hawezi kukosa aisee.

Tena inabidi Magufuli ampe jamaa hii kazi, ya kumuwakilisha kwenye kila msiba na sherehe nje ya nchi.

R.I.P Mama Kibaki.
Balozi maalum anayemuwakilisha Rais ktk masuala ya misiba
 
JK shughuli kama hizi hawezi kukosa aisee.

Tena inabidi Magufuli ampe jamaa hii kazi, ya kumuwakilisha kwenye kila msiba na sherehe nje ya nchi.

R.I.P Mama Kibaki.

Mkuu asigwa
Ni vyema ungetumia busara yako kwa kiasi kidogo hususan kwenye jambo kama hili.
 
Wakati JMP anatumbua majipu, anaitaji mtu wa kumwakilisha sehemu nyingine. JK ni mzuri sana kwenye hizi shughuli za misiba na safari za nje ya nchi.
 
suala la jk kwa kwli kupiga route ana penda, apewe tuu hyo nafas

R.I.P Mama Lucy
 
RIP mama kibaki, poleni wakenya. JK akitoka hapo atapanda ndege na kwenda wapi mkuu mbona hujatupa ratiba yake yote
 
Mkuu asigwa
Ni vyema ungetumia busara yako kwa kiasi kidogo hususan kwenye jambo kama hili.
Mkuu mtu akishakufa amekufa tu.

JK huyu huyu alienda kwenye msiba wa Mandela mara mbili.

Mara ya kwanza alienda kabla ya tarehe ya msiba akakuta msiba bado "haujawa hot", akarudi nyumbani akazuga siku mbili tatu, baadaye akarudi tena msibani.

Ni unafiki tu wa kiafrika kumlilia mtu akishakufa mpaka mtu anagala gala chini wakati alipokuwa hajafa, anahangaika na ugonjwa wake hakuna mtu aliyekwenda kumuona, baada ya kufa walewale waliokuwa wanalia msibani mpaka kugala gala kwa "uchungu mzito" wanagawana mpaka nguo ya ndani ya marehemu na kuwadhulumu watoto wa marehemu urithi wote.

Waafrika tuna tatizo kubwa sana.

Misiba kwetu ni "social capital" .........
 
Magufuli na raila odinga wote hawapo msibani,siasa hizi zinatupeleka wapi jamani?
 
Kikwete ana roho ya utu, anajua nini maana ya kuwa binadamu
Hitimisho lako umelifanya kwa kumlinganisha na nani?soma hapa chini kuna jibu lako....
Wakati JMP anatumbua majipu, anaitaji mtu wa kumwakilisha sehemu nyingine. JK ni mzuri sana kwenye hizi shughuli za misiba na safari za nje ya nchi.
Wewe haswa ndo umetoa jibu sahihi,jk analala na kuota safari,kwaiyo simshangai.
 
Kikwete ana roho ya utu, anajua nini maana ya kuwa binadamu

Angekuwa na roho ya ubinadamu na sio ubinafsi asingetuibia na kufuja maliasili yetu na kutuongezea umaskini wa kutisha tunaopambana nao!! Hayo yote anayofanya ni maigizo tu!!!!
 
Mkuu mtu akishakufa amekufa tu.

JK huyu huyu alienda kwenye msiba wa Mandela mara mbili.

Mara ya kwanza alienda kabla ya tarehe ya msiba akakuta msiba bado "haujawa hot", akarudi nyumbani akazuga siku mbili tatu, baadaye akarudi tena msibani.

Ni unafiki tu wa kiafrika kumlilia mtu akishakufa mpaka mtu anagala gala chini wakati alipokuwa hajafa, anahangaika na ugonjwa wake hakuna mtu aliyekwenda kumuona, baada ya kufa walewale waliokuwa wanalia msibani mpaka kugala gala kwa "uchungu mzito" wanagawana mpaka nguo ya ndani ya marehemu na kuwadhulumu watoto wa marehemu urithi wote.

Waafrika tuna tatizo kubwa sana.

Misiba kwetu ni "social capital" .........

Mkuu asigwa.
Sawa mkuu lakini inawezekana ikawa huo ni mtazamo wako binafsi kwa JK. Lakini JK alichaguliwa na watu mara mbili, na idadi yao haikupungua 20mil. katika kila awamu, je hao watu wote walio mchagua unataka kuwa aminisha na huo mtazamo wako?
 
Natamani JK awe Waziri wa Mambo ya Nje kama katiba inaruhusu
 
Back
Top Bottom