Picha: Hii ni Barabara ya Dr.John Pombe Magufuri

Picha: Hii ni Barabara ya Dr.John Pombe Magufuri

Kwahiyo hata nguo uloivaa siku ikichanika utawadharau walioishona kwasababu tu imechanika? ni nani alikwambia vitu vitaishi milele? kama ndo hivyo hata maisha yetu yasingekuwa na mwisho kamwe

Kweli kabisa
 
Kwahiyo hata nguo uloivaa siku ikichanika utawadharau walioishona kwasababu tu imechanika? ni nani alikwambia vitu vitaishi milele? kama ndo hivyo hata maisha yetu yasingekuwa na mwisho kamwe

Nguo hata siku mbili haijafikisha inachanika kwann usiwalaume?barabara ya lami minimum life span ni 20yrs at least ndo uanze viraka,ila barabara ya mtwara haina hata miaka 5 tayari haifai.
 
katika kampeini zake nyingi huyu jamaa utamkuta anaongelea zaidi barabara kwani anataka kua raisi wa barabara??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom