Picha: Hii ni Barabara ya Dr.John Pombe Magufuri

Picha: Hii ni Barabara ya Dr.John Pombe Magufuri

So hizi ndio barabara tunazopigiwa nazo kelele? Then huyo mbinukaji majukwaani anachoniboa anaongea as if uchuro huu alijenga kwa pesa za mfukoni mwake na si kodi zetu. Next time akiongea tena huu ujinga tutaomba atueleze pia ni 10% kiasi gani alipata mpaka akajenga zile apartments adda estate na magorofa ya vimada bamaga na kwingineko.
 
Magufuli hafai kabisa.... Ni maneno tu na kukariri

chief, hata huko kukariri kwake kwani huwaga anapatia basi?? zile kilometres za barabara anazozitamka ukirudi kwenye makabrasha sehemu kubwa ni magumashi tu.

typical reference ni hili la hapa juzi alivojichanganya kuhusu urais wa Sadam. alikuwa amekariri...but incorrectly!
 
IMG_0432.JPG


IMG_0433.JPG


IMG_0431.JPG


cc: asakuta same.Pascal Ndege.

Dah! Huyo Mzee wa Kuwait ulafi wa 10% zake ndiyo umetusababishia barabara chini ya kiwango pamoja na kudaiwa matrilion kisa hizo barabara.
 
Unaikumbuka hii ya iringa
 

Attachments

  • 1443507147235.jpg
    1443507147235.jpg
    40.7 KB · Views: 236

Similar Discussions

Back
Top Bottom