Kwahiyo hata nguo uloivaa siku ikichanika utawadharau walioishona kwasababu tu imechanika? ni nani alikwambia vitu vitaishi milele? kama ndo hivyo hata maisha yetu yasingekuwa na mwisho kamwe
Ndo maana siku hizi anaogopa hata kuzitaja tena barabara. Cheap politics hizo. Ilikuwa njia yake tu ya kupigia parcent 10 kutoka kwa makandarasi wake.
Sasa zoote zimemuumbua huyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.